MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 305
- 728
Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.