Mapadre waache kulawiti watoto ni dhambi kubwa saana kwa MuumbaIla waprotestant migogoro ndani ya kanisa Ni Kama ibada..Tumechoka, viongozi badilikeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapadre waache kulawiti watoto ni dhambi kubwa saana kwa MuumbaIla waprotestant migogoro ndani ya kanisa Ni Kama ibada..Tumechoka, viongozi badilikeni
Wewe ni miongoni mwa wapuuzi mliojazwa hapo Lumumba kuziba midomo ya wenye akili. Kama mnaona anawakera kampigeni risasi kama wale wegine.Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Nampelekea Hili andiko huko wasaap maana haka kazee kanajitia ujuaji sana
Moderators, comments mufilisi kama hizi hamzioni? Mbona yahoo huwa wanaondoa comments za kipumbavu kama hii? Jitu linaibuka huko na mahaba yake ya chama linakuja kuchochea migogoro dhidi ya viongozi wa kanisa. Halafu imejitokeza kasumba, kila anayeongelea haki anahusishwa na chadema. Basi chadema ni chama bora kabisa.Bagonza na Shoo wamegeuza makanisa kuwa maduka yao binafsi ya kupiga Hela, pia wamegeuza makanisa kuwa Ofisi za Chadema na kufanyia udalali wa kisiasa.
Wanakopa fedha benki kwa dhamana ya kanisa Kisha wanawapa fedha hizo Chadema, ndicho kilichotokea Konde, sehemu nyingine zitalipuka taratibu.
Mwaikali kawagomea maana anawajua, walitaka kuuza hoteli ya matema beach, Mali ya kanisa Kisha wainunue kwa mgongo wa nyuma iwe yao, walishaandaa mpaka wateja
Kwani Shoo pamoja na sigara na pombe kwenu ni mtakatifu? Malasusa si alikuwa na kashfa ya uhusiano wa kimapenzi na Leticia Ngowi, mke wa mtu na nyie leo bado kwenu ni mtakatifu.Wajinga kama ninyi mnafikiri hivyo.
Bagonza ana tuhuma nyingi za tamaa za mali, vyeo na hata mwilini kwa kuwa na watoti wa nje.
Hili la kumpa sapoti uasi wa Mwaikali kaingia choo cha kike.
Tuhuma hapa ni za mnafiki Bagonza.Kwani Shoo pamoja na sigara na pombe kwenu ni mtakatifu? Malasusa si alikuwa na kashfa ya uhusiano wa kimapenzi na Leticia Ngowi, mke wa mtu na nyie leo bado kwenu ni mtakatifu.
Siri za Malasusa kumega kanisa zavuja
mwanahalisionline.com
Anakula pesa ya kanisa.. ajiuzulu.Wanachato mkisikia jina bagonza mnapataga kichefuchefu kama waja wepesi!!
Mababa askofu Shoo na Bagonza walipaswa kupewa tuzo ya unafiki na usanii uliotukuka pamoja na akina zukuInashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.
Huna unachojua, zero kabisaModerators, comments mufilisi kama hizi hamzioni? Mbona yahoo huwa wanaondoa comments za kipumbavu kama hii? Jitu linaibuka huko na mahaba yake ya chama linakuja kuchochea migogoro dhidi ya viongozi wa kanisa. Halafu imejitokeza kasumba, kila anayeongelea haki anahusishwa na chadema. Basi chadema ni chama bora kabisa.
Zero ni wewe unayeweka tumbo mbele badala ya ukweli. Kinachokuuma ni hao watumishi kuongea ukweli. Huna tofauti na mafarisayo na masadukayo wa kiyahudi waliokuwa wakimpinga Yesu sababu tu ya faida ya matumbo waliyoipata kwa watawala wa kiyahudi. Acha viongozi wa dini wakemee visivyohaki kwani hata Yesu alifanya hivyo. Umeweka siasa mbele mno mpaka unawapangia viongozi cha kusema. Ushindwe!Huna unachojua, zero kabisa
Kwani Askofu Bagonza anaongoza hiyo dayosisi?Inashangaza kuona kiongozi wa dini ambaye ni muasisi wa mgogoro uliopo ndani ya kanisa la KKKT katika jimbo la Konde.
Ambapo ya baada Askofu Dk Edward Mwaikali wa Jimbo la Konde kuondolewa katika nafasi yake na uongozi wa kanisa hilo kutokana na sababu za kiutendaji, Askofu Bagonza aliifanya kuwa anaingilia suala hilo kwa lengo la kulisuluhisha huku nyuma ya pazia akiandaa njama chafu kwa kushirikiana na Askofu Mwaikali ya kuyapoka/kuyagawa baadhi ya majimbo ya kanisa hilo ili kuleta mpasuko na migogoro zaidi ndani ya Kanisa la KKKT.
Hivyo ni jambo la ajabu na kustaajabisha kuona muasisi wa mgororo ndani ya Taasisi ya kiroho kupaza sauti bila haya usoni kutaka Miafaka katika masuala siasa chini.
Askofu Bagonza nakukumbusha mstari huu wa biblia;
Mathayo 7:5
Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.
Na Yothan Mwakipesile
Rungwe-Mbeya.