Askofu Bagonza: Ujinga ni mtaji

Hii iwekewe lamination kabisa
Ili wale viongozi wa wa wajinga wasije wakaichana kwa hasira kwa wajinga wao kuambiwa ukweli

Walau tuna chuo kilichotoa PhD
 
Ni kweli na pia Ni ujinga Kuomba ufadhali kuwafundisha watu elimu ya watu wazima kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK)
 
Ndio maana figisu zilitumika Sana kutoka kwenye mamlaka za kidunia hata Kama Ni kuvunja katiba ya KKKT ili huyu mwamba asiwe askofu mkuu wa KKKT .
Wangekuwa na uwezo wangetamani hata maaskofu Katoliki waingilie mchakato,lakini uzuri ni kwamba Huwa wanayeuliwa kuto Vatican makao ya RC.
Leo tungekuwa na kadinari mwenye kuungwa mkono na White House.

BAKWATA ipo mfukoni 😅😅
 
Kuruhusu kutekwa na mtekaji mwenyewe hata hatumii siraha ya moto bado ni ujinga tu. Siku zote mtekaji hawezi kumteka kienyeji enyeji mtu anayejielewa. Mfano mzuri ni hizo taasisi mbili ulizotolea mfano, viongozi wa dini kuruhusu kutekwa ni ujinga, TLS kuruhusu kutekwa ni ujinga pia. Kwa hiyo ujinga ndio tatizo hapo
 
Bila wajinga kuwepo wajanja hatuwezi kuishi wacha waendelee kuwepo kwani wajinga ndiyo waliwao. Na heri kuwa mjinga kuliko mpumbavu.
 
Labda tuchague Rais mjinga ili naye ateue Mawaziri wajinga; hapo wananchi werevu watawamudu!
 
Lakini si ni Mungu alieiumba dunia na Ujinga uliyomo, Kwenda kanisani na kutoa Sadaka ni ujinga pia atusisitize hilo Askofu.
 
Hapana. Bado huelewi.

Hawa wote hawatekwi bila ya nyenzo kutumika. Nyenzo kuu ni 'Vyombo vya Dola'. Kuna nyenzo nyingine nyingi zinazotumika, lakini hiyo moja ndiyo kuu.
Ondoa hivyo vifaa leo hii, utaona jinsi CCM itakavyo sambaratika.
CCM sasa hivi ni dubwanda tu lililoshikiliwa pamoja na nguvu hafifu sana. Hii ikiondolewa hutaamini kuona hawa washenzi wanaojidai leo kuwa CCM damu damu wakilikimbia dubwasha hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…