Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃Wabunge wetu kama Hamisi Kigwangalla wangekuwa hata na robo tu ya akili za askofu Bagonza taifa lingepona
Unamanisha nini😅😅Wanaodhani Watanzania tuna elimu waanze kujifunza kutokana na comments kama hizi! Ukiwa na watu wengi kama hawa hata mjadala wa Katiba inabidi tuache kwanza twende shule sambamba na kuanzisha chekechea ya watu wazima?
Sema uwezo wako umeishia kwenye masuala ya ubuyu na mkeka, huwezi kuelewa anachoongea Askofu Bagonza. Educate yourself 😡Askofu anajua kupotosha huyu ,sijui anapata wapi ujasiri wa kusimama mbele za madhabahu takatifu?
Sometimes kwenye fact tusipinge ili kuwakomoa CHADEMA tuangalie mustakabali wa Taifa letu miaka mingi ijayo litakua wapi.huyu askofu naye limbukeni tu, hana lolote..!!! cjui kwanini mpaka sahv hajavuliwa hicho cheo cha uaskofu... badala ya kuwa kuhani wa kanisa kawa kuhani wa siasa... big shame
Nchi imegeuzwa tawi la CCMUmenena vyema Askofu. Mwenye masikio na asikie!
Kula kulala huyoSema uwezo wako umeishia kwenye masuala ya ubuyu na mkeka, huwezi kuelewa anachoongea Askofu Bagonza. Educate yourself 😡