Pre GE2025 Askofu Bagonza: Ushahidi wa Marko Ng'umbi unasambaratisha uhalali wa TAMISEMI na tume “huru” kusimamia chaguzi kwa uhuru na haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Marco na Nape wameudhihirisha umma wa watanzania kwamba CCM wakisaidiana na dola wamekuwa wakipora chaguzi zote nchini.
Hii ni aibu kubwa!!
 
Bagonza lini aliliongelea la wale viongozi wa dini WALIOMCHUNA NGOZI kiumbe dhaifu kabisa....yule mtoto wa Kagera...so sad
 
Mahakama zetu zitaamua kwa haki kweli? Angalia ile kesi ya utekaji imeishia je?
 
Serikali isipokuwa makini tunapoelekea kwenye chaguzi kuna uwezekano wa kuliingiza Taifa kwenye shida.
Inasikitisha sana Viongozi kueleza hadharani uchafu waliyotenda kinyume cha maadili na sheria za nchi.
Tuwashukru kwa kueleza ukweli unaoumiza lakini mamlaka za uteuzi zijue kutengua tu hakutoshi ni vizuri wakaruhusu sheria ichukue mkondo wake kupata haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…