Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
PhD za viongozi wa makanisa huwa nyingi haziheshimiki ba sababu inayosababisha na watu wenye PhD za makanisani Kama akina Bagonza.Ukikutana na mtu mwenye PhD wa fani zisizo za makanisani anaongea kwa takwimu na evidence verifiable.Hizi PhD za viongozi wa makanisa nyingi Ni za urembo tu za kutundika ukutani .Wanaozitoa wanavipa vichwa vitupu.Wanavalisha kofia ya PhD kwenye kichwa kitupu kisicho na kitu kwenye ubongo
Amesema wapinzani hawana furaha kwani wapinzani si wako nchi nzima waliopita bila kupinga wako nchi nzima no angeongelea labda wa karagwe na atoe takwimu pia kasema wapiga kura hawana furaha .Wapiga kura wako nchi nzima .Wewe ndio hujui kusoma Kama una digrii na wewe ni fekiSijaona popote alipoandika Nchi nzima!! Au mwenzetu unabandiko lako!?
Letee takwimu na Nani alifanya huo utafiti na vigezo alivyotumia na maeneo aliyotanyia utafiti.Weka hapa source reliable yenye mchanganuo wa kufikia hiyo conclussionHuelewi kwamba Tanzania ni moja Kati ya nchi tatu duniani ambao wananchi wake hawana furaha?
Furaha ni hali tuliyoumbiwa na Mola mkuu, Askofu au Shekhe hawawezi kutupa hiyo hali ila kutupa mafundisho ya kuichochoea hiyo furaha baada ya kuipoteza kwa mambo kama uchaguzi wa kibabe, ugomvi maana nao huondoa furaha, maradhi nayo pia huondoa furaha nk.Lete sababu kiongozi
Letee takwimu na Nani alifanya huo utafiti na vigezo alivyotumia na maeneo aliyotanyia utafiti.Weka hapa source reliable yenye mchanganuo wa kufikia hiyo conclussion
Askofu Bagonza nyie ndio mna jukumu lukufanya Watanzania wawe na Amani na furaha
Ila mmeacha kazi yenu mmegeukia siasa za tumbo
Acha Kujitoa ufahamu maelezo ya baba askofu ni kweli tupu, sema wewe na anayekulipa mtandaoni hampendi kuambiwa ukweli Pimbi kweli wewe.Askofu Bagonza nyie ndio mna jukumu lukufanya Watanzania wawe na Amani na furaha
Ila mmeacha kazi yenu mmegeukia siasa za tumbo
Kilaza wa lumumba, What the hell is Veriafiable?Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Askofu Bagonza ni mtu wa watu kaamua kusimama na watu sio shetani.Pengo na Sheikh Alhad Musa hawawatoshi kuwalamba makalio? Huyo askofu PhD hawezi kufanya upuuzi wenu wa kusifu na kuabudu.
Na wewe hauna furaha.Askofu boganza amekuwa mtu wa kupigania Tumbo lake
Anaongea mihemuko ya kisiasa akasahau kuhudumia wakristo wanaomlipa mshahara
Pia anasahau matumizi ya Takwimu Kama PhD holder anajiongelea tuAskofu boganza amekuwa mtu wa kupigania Tumbo lake
Anaongea mihemuko ya kisiasa akasahau kuhudumia wakristo wanaomlipa mshahara
Ya Bagonza ikiwa feki na ya korosho itakuwaje ambayo ilipeleka jeshi kununua korosho na wote tunajua kilichotokea. Alichokizungumza Bagonza ni ukweli mtupu, One does not have to be a genius to understand this.Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Wewe unapigania nini mtandaoni kutwa kucha, usiku kucha sio tumbo?Askofu boganza amekuwa mtu wa kupigania Tumbo lake
Anaongea mihemuko ya kisiasa akasahau kuhudumia wakristo wanaomlipa mshahara
"Waliopanga yaliyotokea hawana furaha, Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha. Walioshauri hekima hawana furaha. Waliokaa kimya hawana furaha, Wanaounga mkono nilichoandika hapa, hawana furaha. Wanaopinga nilichoandika hapa, hawana furaha"Nilishawahi sema PHd ya Bagonza Ni feki .Huo utafiti wa wasio na furaha nchi nzima kaufanya wapi?
PhD kazi yake ni kushusha takwimu sio hisia au halucinations
Chuo gani kilimtunuku hiyo PhD? Anaongea Kama mlevi Hana takwimu hata moja veriafiable na reliable
Tena anakuwa wa kwanza. Mimi nafikiri huyu yumo humu kwa kazi moja tu. AliyotumwaYaani kila uzi ukosekani, ni kama majani ya chai kwenye maduka ya rejareja.
Unacho-comment sasa, shetani ndiye anajua.