Askofu Bagonza, Watawala wanatuaminisha kuwa CHADEMA ndiyo chama tawala Tanzania.

Askofu Bagonza, Watawala wanatuaminisha kuwa CHADEMA ndiyo chama tawala Tanzania.

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Askofu ambaye kimsingi hanaga uoga wala kujipendekeza ametema nyongo.

Amesema anawashangaa watawala kuiogopa sana CHADEMA kwa kuwakamata wanachama na viongozi wa Chama hicho ambao walikuwa wanatekeleza hakim zao kikatiba.

UVCCM walifanya au walishiriki hiyo kongamano na hata ACT Wazalendo pia walifanya hiyo shughuli lakini hakuna waliokamatwa wala kupigwa mabomu.

Yaani watawala wanaiogopa CHADEMA kama ukoma.

Soma Pia: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani

Chama tawala mnakuwaje na hofu na Chama Chama upinzani?
 
Sifa na mapambio yanayoimbwa kila mahali yamefeli kuwalewasha walipa tozo.
 
Ingekua ni Shehe,basi sasa hivi tayari angekua yupo kwenye mikono salama.
Hayo ni mawazo yako, Sheikh Ponda mara ngapi anayoosha maelezo kama alivyonyoosha huyu mbona hajakamatwa? Watu modeli yako ndiyo wanaipa kichwa CCM kuwagawa watu ili watawale kiulaini.
 
Hicho chama cha kishetani chadema hakiwezi kuwa chama tawala. Kwanza kina laana ya Magufuli
 
Askofu ambaye kimsingi hanaga uoga wala kujipendekeza ametema nyongo.

Amesema anawashangaa watawala kuiogopa sana CHADEMA kwa kuwakamata wanachama na viongozi wa Chama hicho ambao walikuwa wanatekeleza hakim zao kikatiba.

UVCCM walifanya au walishiriki hiyo kongamano na hata ACT Wazalendo pia walifanya hiyo shughuli lakini hakuna waliokamatwa wala kupigwa mabomu.

Yaani watawala wanaiogopa CHADEMA kama ukoma.

Soma Pia: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani

Chama tawala mnakuwaje na hofu na Chama Chama upinzani?
Ngoja wamteke
 
Kwahiyo ukiwa na kiwango fulani cha elimu,basi unakua unaogopwa na mamlaka? Hiyo comment umeiandika ukiwa usingizini au umelewa?
Ndio hasa kwenye eneo la uhuru wa kujieleza.
Akifanya makosa mengine huwa hakuna tofauti kati ya msomi na MEMKWA.

Ongea wewe kama alivyoongea Bangonza mbele ya media uone mkeo atakavyo kuletea chai lockup
 
Unaishi kijiji gani wewe? Ponda ni mara ngapi kawekwa ndani? Wakati anapigwa chuma ulikua hujazaliwa?

Halafu tambua kwamba,comment yangu haipo kisiasa,sibishani mambo ya siasa hapa.
Hayo ni mawazo yako, Sheikh Ponda mara ngapi anayoosha maelezo kama alivyonyoosha huyu mbona hajakamatwa? Watu modeli yako ndiyo wanaipa kichwa CCM kuwagawa watu ili watawale kiulaini.
 
Kwahiyo wewe kwa vile huna elimu,siku ukiongea mbele ya media,mumeo atakuletea chai lockup? Ndio freedom of speech ipo hivyo?
Ndio hasa kwenye eneo la uhuru wa kujieleza.
Akifanya makosa mengine huwa hakuna tofauti kati ya msomi na MEMKWA.

Ongea wewe kama alivyoongea Bangonza mbele ya media uone mkeo atakavyo kuletea chai lockup
 
Unaishi kijiji gani wewe? Ponda ni mara ngapi kawekwa ndani? Wakati anapigwa chuma ulikua hujazaliwa?

Halafu tambua kwamba,comment yangu haipo kisiasa,sibishani mambo ya siasa hapa.
Hayo ya zamani tunaongelea sasa wewe bwege unayeendekeza udini
 
Sina mume nina mke vipi unataka uwe mke wa pili?
Acha ligi za kindezi kwenye comment za wanaume.
Comment yako ilikaa kike kike sana,kama ni wa kiume basi kuna jambo halipo sawa kwako,jaribu kujichunguza ili utatue hilo tatizo kwanza,kisha njoo kwenye mjadala.
 
Wewe Panzi si ulisema Ponda hajawahi kukamatwa? Baada ya kukupa habari kua amekamatwa mara kibao tu na alishakula chuma,ndio unakuja kutingisha kalio zako hapa kwa hoja mfu? Wewe kafie nyuma coz mambo yako hua ni nyuma nyuma tu.
Huna maswali ila una upuuzi tu, Sheikh Ponda hata kwenye kampeni za Chadema tulikuwa naye hana mawazo mgando kama yako kafie mbele na upuuzi wako.
 
mimi ni CCM lakini sikufurahishwa na kitendo cha kuwaweka viongozui wa CHADEMA ndani na kuwapa mkongoto, sawa tumewatia adabu lakini tunawapa umaarufu ambao hawana, mimi nadhani Mama samia hakushirikishwa hili, tunachafua image yetu pasipo sababu. Mama amwajibishe Masauni. chadema sasa hivi wadogo sana hata kiganja hawajai, mimi naona hii ni hofu tu ya mwenye Jimbo la Mbeya lakini bila kujua amemuongezea umaalufu Sugu.
 
Wewe Panzi si ulisema Ponda hajawahi kukamatwa? Baada ya kukupa habari kua amekamatwa mara kibao tu na alishakula chuma,ndio unakuja kutingisha kalio zako hapa kwa hoja mfu? Wewe kafie nyuma coz mambo yako hua ni nyuma nyuma tu.
Nakucheka tu kwa daharauu. Hayo yote nayajua mimi nazungumzia kwa wakati tulio nao.
 
Nakucheka tu kwa daharauu. Hayo yote nayajua mimi nazungumzia kwa wakati tulio nao.
Unayajua baada ya mimi kukwambia,kabla ya hapo si ulisema kua "Mara ngapi Ponda anaongea na hajakamatwa"

Hilo neno mara ngapi lina maanisha muda mwingi tu au kila mara tu,baada ya kukwambia kua kisha kamatwa mara kibao tu,tena alishakula chuma,

Sasa hivi ndio unajifanya eti "Naongelea sasa na sio zamani" siku nyingine acha kukurupuka kichwa panzi wewe.
 
Back
Top Bottom