Askofu Bagonza, Watawala wanatuaminisha kuwa CHADEMA ndiyo chama tawala Tanzania.

Askofu Bagonza, Watawala wanatuaminisha kuwa CHADEMA ndiyo chama tawala Tanzania.

Unayajua baada ya mimi kukwambia,kabla ya hapo si ulisema kua "Mara ngapi Ponda anaongea na hajakamatwa"

Hilo neno mara ngapi lina maanisha muda mwingi tu au kila mara tu,baada ya kukwambia kua kisha kamatwa mara kibao tu,tena alishakula chuma,

Sasa hivi ndio unajifanya eti "Naongelea sasa na sio zamani" siku nyingine acha kukurupuka kichwa panzi wewe.
Naona mumeo alivyouchomoa tu umekuja humu haya chukua kopo nenda katoe janaba hilo . Kwaheri.
 
Hayo ni mawazo yako, Sheikh Ponda mara ngapi anayoosha maelezo kama alivyonyoosha huyu mbona hajakamatwa? Watu modeli yako ndiyo wanaipa kichwa CCM kuwagawa watu ili watawale kiulaini.
Binadamu tu wazito sana mkuu
 
Back
Top Bottom