mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Tunaikaribia Nigeria. Mambo haya yanaathiri utambulisho wa taifa letu. Baadhi yetu tumefaidi matunda ya jina zuri la taifa letu ndani na nje ya mipaka. Jina hilo lilijengwa kwa gharama kubwa na waasisi wa taifa letu. Popote ulipojitambulisha ni Mtanzania, watu waliinama kwa heshima kubwa.
Niliwasikia kwa masikio yangu baadhi ya viongozi wa sasa wa serikali yetu wakijiapiza kuwa “yakiyojitokeza katika awamu ya tano, yasiruhusiwe tena”.Rais Samia ana historia ya kujenga na tayari anayo. Ana Legacy ya kuacha, si kubebana na ya awamu ya tano.
CCM bado inao uwezo mkubwa wa kushinda chaguzi bila ulazima wa “kuonekana” inaiba kura. Naogopa kuamini kuwa sifa ya mwana CCM ni kuiba kura! Inatisha."
Soma: Askofu Bagonza: Madai ya mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi yasimilikiwe na chama chochote
Niliwasikia kwa masikio yangu baadhi ya viongozi wa sasa wa serikali yetu wakijiapiza kuwa “yakiyojitokeza katika awamu ya tano, yasiruhusiwe tena”.Rais Samia ana historia ya kujenga na tayari anayo. Ana Legacy ya kuacha, si kubebana na ya awamu ya tano.
CCM bado inao uwezo mkubwa wa kushinda chaguzi bila ulazima wa “kuonekana” inaiba kura. Naogopa kuamini kuwa sifa ya mwana CCM ni kuiba kura! Inatisha."
Soma: Askofu Bagonza: Madai ya mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi yasimilikiwe na chama chochote