Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
"Aliyeteuwa hakuomboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!
 
"Aliyeteuwa hakumboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!
Acheni uzushi

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
"Aliyeteuwa hakumboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!
Weka source!
 
"Aliyeteuwa hakumboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!
Mtu yeyote muungwana hawezi kufanya kitendo kama hiki! Mila zetu haziko hivyo. ngoja basi azikwe, zipite hata siku tatu!
 
mimi najua mtoa mada ni shabiki, huyo askofu hakusema hivyo wala hakumaanisha hivyo...ni hujma binafsi za mleta mada ndizo tatizo kubwa
 
Ile ni ofisi ya umma inahitaji mtu muda wote,Naibu Waziri kuna mambo hawezi kufanya. Hivyo naona ni sahihi JPM alivyofanya,ila kwasababu kuna watu huwa wana mawazo hasi siku zote lazima wataona shida.

macson
 
Ile ni ofisi ya umma inahitaji mtu muda wote,Naibu Waziri kuna mambo hawezi kufanya. Hivyo naona ni sahihi JPM alivyofanya,ila kwasababu kuna watu huwa wana mawazo hasi siku zote lazima wataona shida.

macson
Hii wizara haina naibu. Ina waziri tu.
 
Back
Top Bottom