Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

Askofu Benson Bagonza asikitishwa na mwenendo wa Rais Magufuli, anena haya...

Ile ni ofisi ya umma inahitaji mtu muda wote,Naibu Waziri kuna mambo hawezi kufanya. Hivyo naona ni sahihi JPM alivyofanya,ila kwasababu kuna watu huwa wana mawazo hasi siku zote lazima wataona shida.

macson
Hivi Magufuli alikaa siku ngapi kabla ya kuteua baraza la mawaziri?Au wakati huo ofisi za wizara zilikuwa zimebinafsishwa? Wenzetu huu ujasiri wa kujitoa ufahamu mnaupata wapi?
 
Lumumba sijaskia mkiki wa maana tangu corona ianze kufanya yake ....
 
Hivi Magufuli alikaa siku ngapi kabla ya kuteua baraza la mawaziri?Au wakati huo ofisi za wizara zilikuwa zimebinafsishwa? Wenzetu huu ujasiri wa kujitoa ufahamu mnaupata wapi?
Hata kumteua Chief of Justice alichukua muda mrefu sana kiasi ambacho kilitushangaza sana,iweje uteuzi wa waziri wa Sheria uwe wa haraka kiasi hiki?? Utetezi mwingine huwa unatia shaka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile ni ofisi ya umma inahitaji mtu muda wote,Naibu Waziri kuna mambo hawezi kufanya. Hivyo naona ni sahihi JPM alivyofanya,ila kwasababu kuna watu huwa wana mawazo hasi siku zote lazima wataona shida.

macson
Inazidi nafasi ya Waziri Mkuu? Mbona Mwslimu hakufanya hivyo bssda ya kifo cha Sokoine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Aliyeteuwa hakuomboleza.

Aliyeteuliwa hataomboleza.

Marehemu ameshafika aendako? Na kama amefika basi usajili bado

Tuna wagonjwa wengi, tutateuana kila siku"

Hayo ni maneno ya Baba Askofu Benson Bagonza ambayo yanaonyesha dhahiri kuwa hajafuraishwa na mwenendo wa Rais kuhusu jambo muhimu.

Naungana na Baba Askofu!
Sina Neno, tuna wagonjwa wengi..... Bungeni? Mawaziri??
 

Attachments

  • IMG-20200502-WA0043.jpg
    IMG-20200502-WA0043.jpg
    14.1 KB · Views: 1
Mtu yeyote muungwana hawezi kufanya kitendo kama hiki! Mila zetu haziko hivyo. ngoja basi azikwe, zipite hata siku tatu!
Ni kweli na wasiwasi ni wa nini wakati wizara siyo kwamba inabaki wazi bila viongozi..., kuna naibu waziri au katibu mkuu...
Mambo mengine si yatasonga tu, haraka ya kuteua waziri katikati ya msiba wa waziri aliyetangulia ni ya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Magufuli alikaa siku ngapi kabla ya kuteua baraza la mawaziri?Au wakati huo ofisi za wizara zilikuwa zimebinafsishwa? Wenzetu huu ujasiri wa kujitoa ufahamu mnaupata wapi?
Uteuzi huu alikuwa anawakomoa wale wakosoaji WA kujificha kwake mitandaoni. Jana mwigulu kamtetea sana bungeni kuhusu yeye kuwa chato hali nchi inaangamia. Alisema raid hahitajiki kuwa ikulu so lazima aje aongoze mapambano ya covid. Wengi tulioona ile clip tulitegemea hili ila kafanya blander ya kuteua Leo. Angekuwa na subir kidogo. Tusishangae so tuliona bashe alivyoula? Aliwatukana kina kinana kesho take akawa waziri. Ila watanzania tujiulize. Kwema?
 
Ile ni ofisi ya umma inahitaji mtu muda wote,Naibu Waziri kuna mambo hawezi kufanya. Hivyo naona ni sahihi JPM alivyofanya,ila kwasababu kuna watu huwa wana mawazo hasi siku zote lazima wataona shida.

macson

Kuna ulazima/uharaka gani wa mtu kwenye hiyo wizara kiasi kwamba angengoja hata wiki baada ya marehemu kuzikwa? Mbona alipoingia madarakani alikaa miezi mitatu bila hao mawaziri? Utetezi mwingine ni wa kijinga sana. Ni kweli Magufuli ni rais wetu, lakini sio mtu sahihi kwa hiyo nafasi ya urais. Halafu eti ndio anatumia madaraka yake kuhakikisha upinzani unafutika nchi hii, wakati hata huko kwenye chama chake hana wa kumchagua zaidi ya kuwarudia aliowafukuza kwa kusema hawana uwezo.
 
Mtu yeyote muungwana hawezi kufanya kitendo kama hiki! Mila zetu haziko hivyo. ngoja basi azikwe, zipite hata siku tatu!
Hi ni serikali siyo mtu! Serikali siyo mtu narudia!
Hakuna katiba ilipo vunjwa
 
Nikikumbuka maneno aliyosema Lissu kuhusu huyu mtu nashawishika kusema Lissu ana chembechembe za unabii!

Sent using Jamii Forums mobile app

Bila kujali kusema namkosea mwenyekiti wangu Mheshimiwa sanaa, wala chama changu. Lissu is a SEER, and Mbowe is a GENIOUS and CHARISMATIC LEADER.

Ndio maana hawa watu CCM wengi hawawapendi.

Kipaji ni talanta, elimu na vyeti havifui dafu kwa talanta.
 
Back
Top Bottom