Askofu Benson Bagonza: Askofu Malasusa anapokea uongozi wa KKKT kutoka kwa Dk Shoo huku kanisa likigubikwa na madeni yanayotokana na ubadhirifu

Bagonza amesema ukweli
 
Askofu mkuu wa kkkt ni mwenyekiti wa maaskofu wote wa kkkt pale wanapokutana lakini hana mamlaka ya kuingilia mambo ya dayosisi nyingine kiutendaji
Hayo mtayajua nyie, sie tunajua yeye ndio kiongozi mkuu wa KKKT
 
Nawashangaa sana hawa watu!
 
Mbona aliingilia kibabe diocis ya konde na kumtengua askofu na kumuweka mwingine chini ya usimamizi wa malasusa mmesahau?
 
Mbona aliingilia kibabe diocis ya konde na kumtengua askofu na kumuweka mwingine chini ya usimamizi wa malasusa mmesahau?
 
Utetezi dhaifu kabisa.
 
Katiba ya KKKT ni kuwa Askofu Mkuu awezi kamwe katu asilani kuingilia dayosisi yoyote. Maamuzi ya kifedha na Rasilimali ya Dayosisi ni Juu ya Askofu muhusika na sio swala la Askofu Mkuu. HATUA kubwa aliyoipiga BABA askofu Shoo ni kuakikisha kuwa Kunakuwa na katiba moja ili kuwe na uwezo wa Askofu mkuu kuwa na uwezo wa kurekebisha mambo yanapokwenda mrama ndani ya dayosis yoyote.
Swala la Hospitali ya Arusha Lutheran medical centre ni swala la Kiutendaji tu na wala halina connection na Baba Askofu shoo. Mnapo wasema watu akikisheni mnajua mfumo wa utendaji na jinsi mfumo unavyomzuia mtu kugusa vitu unavyodai. Shortly Be Objective
 
Tunaomba ushahidi kuwa ni askofu Bagonza ameyasema haya!
 
Wapi unaweza kumuabudu mungu wa kweli asiyehitaji pesa wala michango?
 
Kanisa linamiliki hadi hoteli?
 
Maaskofu wa CHADEMA wanavurugana.. hatari. Maaskofu karibu wote wanaojihusisha na hiki chama cha Mbowe lazima walete taharuki makanisani kwa kuingiza siasa za maji taka. Hata Askofu Mwamakula alikuwa na mgogoro na kanisa lake la Moravian. Bagonza ajitahidi kuelewa kuwa kanisani hakuhitajiki mambo ya siasa. Anachofanya ni upuuzi.

Kuhusu Shoo hakuna haja ya kumlaumu kwasababu yeye na yule Kimaro wa Kijitonyama wamefunga ndoa na pesa hadi kifo kitakapowatenganisha na pesa. Kwa kukubali kununuliwa na kina Mbowe gari la mamilioni ilimwondolea usafi wote aliokuwa nao kama mtumishi wa Mungu. Dr Shoo na Kimaro waache tabia za kupenda sana fedha.
 
Naam
 
Nadhani Shoo amehusishwa kwa kuwa ni "mshirika mkubwa wa chadema" kama ilivyoelezwa kwenye mada.
Kinachonishangaza ni kwamba wote Bagonza na Shoo ni washirika wakubwa wa chadema sasa wanarushiana madongo!
 
K
Kwa hiyo Bagonza ni askofu wa CCM na anakubaliana na uovu ndani ya CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…