Askofu Benson Bagonza: Askofu Malasusa anapokea uongozi wa KKKT kutoka kwa Dk Shoo huku kanisa likigubikwa na madeni yanayotokana na ubadhirifu

Mbona umekuwa mkali ni mwimini wa hilo kanisa au?Mbona hayo ni ya kawaida tu kwa kkkt?mbona dayosisi ya konde pale Tukuyu ilifisadiwa mali zake nyingi tu?
 
Ukiachana na upuuzi wa Pop...kanisa katoliki miradi yake ipo smart sana, wenyewe sijui wanajiongozaje?
 
Sasa sadaka zetu haziwatoshi kula? Mpaka wakwibe vitega uchumi vya kanisa?
 
Kweli mti wenye matunda ndio unapigwa mawe. Sasa kwenye suala la kanisa chadema inaingiaje? Kwahiyo kama kanisa Lina ubadhilifu wa pesa kunaifanya wizi uwe halali serikalini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…