Askofu Benson Bagonza: Viongozi wana nguvu sana katika vyama kuliko wanachama. Dola inatumika kuingilia chaguzi ndani za vyama vya siasa!


View: https://www.instagram.com/p/DEAXfvVIWoV/?igsh=bHNkdG1sb2xpYjFy
 
Vibaraka na machawa wa wauaji wataanza kumshambulia Askofu muda si mrefu
 
Uhalisia ni kwamba, siasa ni kiini macho tuu na siasa siku imeingia kila mahali hatimaye mambo yanaenda ili mradi tuu. Yawezekana kweli Bishop anachuki kama ulivyosema. Lakini tunapaswa kujiuliza maswali kwa tafakuri ya je ni kweli kwamba, hakuna mtu mwingine mwenye uwezo wa kuongoza mpaka wewe uendeleee muda mrefu hivyo?
Moja wapo ya sifa kubwa ya kiongozi bora kwenye kada yoyote ile ni kuandaa viongozi wengine ili baadae waje washike hatamu. Sasa kama tutakuwa hatuna Succession plan ya viongozi wanaotakiwa kuja kushika hatamu hilo ni bomu jingine. Lakini pia tukumbuke Sauti ya Wananchi ni sauti ya Mungu moja kwa moja.
 
Mashine zote za upumbavu za CCM mnapambana sana kutaka Mbowe ashinde.

Lisu ni pigo baya sana kwa CCM na vibaraka wake.

Shetani anapambana kuhakikisha Lisu anaanguka
Mbona nyie Machadema na upumbavu wa Mabeberu mnapambana kutaka kibaraka Mkuu Lisu washinde?

Shetani akishinda hama chama
 
Mbona nyie machine na upumbavu wa Mabeberu mnapambana kutaka kibaraka Mkuu Lisu washinde?

Shetani akishinda hama chama
Wewe ni CCM tena mteule
Una maslahi gani kwenye uchaguzi wa CHADEMA?
 
Hata nchi ni ya viongozi sisi wananchi hatuna wanalotusikiliza.

Ni mifumo mibaya kabisa. Tukiweza kwa hili hata vyama vitafuata kuwapa wanachama nguvu ya kufanya maamuzi.
 
🚮🚮 Tanzania sio shamba la bibi kwamba vibaraka wataachwa wafanye wanavyojiskia
Ni shamba la bibi kwa CCM

Tunaiondoa madarakani kupitia michakato ya kidemokrasia mnayoibaka kila siku kwa kusaidiwa na takataka zenu mlizopandikiza upinzani
 
Mapumbavu ya ccm Huwa Yana vichwa hewa ndio maana kila uchaguz lazima yaengue wagombea wa chadema maama hayana ushawishi kutokana na kuwa na vichwa hewa
 
vivyo hivyo Askofu Bangonza alijiuliza kwa uchungu sana kuhusu uongozi wa kanisa lake nchini, kwamba, hivi ni kweli kanisa hilo halina mtu mwingine kushika wadhifa wa ukuu wa kanisa hilo, hata aliestaafu na kumaliza muda wake kurejea tena uongozini?

hata hivyo,
ikiwa hakuna kikwazo cha kisheria au kuutaratibu kuhusu ukomo wa uongozi, kuna haja gani kubababika na kujiuliza kwanini fulani asiwaachie wengine wakati kila moja ana haki na uhuru wa kugombea?🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…