Askofu Benson Bagonza: Viongozi wana nguvu sana katika vyama kuliko wanachama. Dola inatumika kuingilia chaguzi ndani za vyama vya siasa!

Askofu Benson Bagonza: Viongozi wana nguvu sana katika vyama kuliko wanachama. Dola inatumika kuingilia chaguzi ndani za vyama vya siasa!

Mapumbavu ya ccm Huwa Yana vichwa hewa ndio maana kila uchaguz lazima yaengue wagombea wa chadema maama hayana ushawishi kutokana na kuwa na vichwa hewa
relax na upunguze mihemko gentleman wakati huu wa kuhitimisha siku kuu ya Christmas šŸ’
 
Ni shamba la bibi kwa CCM

Tunaiondoa madarakani kupitia michakato ya kidemokrasia mnayoibaka kila siku kwa kusaidiwa na takataka zenu mlizopandikiza upinzani
CCM haiwezi ondokewa na vibaraka wa Mabeberu
 
Kanisani kwako waumini wana mamlaka gani juu yako? Wewe ni Aloha na Omega...wanakuwa na mamlaka ya kutoa sadaka, wakishaitoa mamlaka yao yamekwisha sawa na vyama vya siasa, in a different version
Mahaba niue,kila anapoguswa Sultan Mbowe lazima uruke kimanga kudadadadeq. Usikute wewe ni Dr. Lillian Mtei.
 
Ukiachana na hulka ya Askofu, una mtazamo gani juu ya maoni na ushauri wake?
bado maoni na ushauri wake hauna mashiko,
kwasabb hakuna sheria wala utaratibu uliokiukwa kwa mbowe kugombea tena uongozi ndani ya chadema, kama ilivyokua kwa Askofu Mkuu wa KKKT Dr.Alex Malasusa alipochaguliwa tena kua kiongozi mkuu wa kanisa šŸ’
 
Anaandika Rev Dkt BENSON BAGONZA

"Tatizo kubwa la hivi vyama vyetu vya upinzani vikianzishwa hugeuzwa kuwa vyama vya watu badala ya kuwa vyama vya wanachama.

Viongozi hufikia hatua ya kuviita vyama vyao.

Wanachama wanapaswa kuwa makini na kusimamia wajibu wao wa kutoruhusu mamlaka yao ya kutoa maamuzi ya mwisho kwenye chama yasipokwe na viongozi"-BBagonza


View: https://www.facebook.com/share/v/19epb6kYUi/



Askofu huyu anaakili sana aisee
 
Siasa ni nyoko ndo maana kama hunufaiki nayo basi achana nayo maana Tanzania hakuna wanasiasa Bali kunawajasiliasiasa na machawa kazaa
Kabisa mkuu kama sinufaiki nayo bora nikalime tu
 
Anaandika Rev Dkt BENSON BAGONZA

"Tatizo kubwa la hivi vyama vyetu vya upinzani vikianzishwa hugeuzwa kuwa vyama vya watu badala ya kuwa vyama vya wanachama.

Viongozi hufikia hatua ya kuviita vyama vyao.

Wanachama wanapaswa kuwa makini na kusimamia wajibu wao wa kutoruhusu mamlaka yao ya kutoa maamuzi ya mwisho kwenye chama yasipokwe na viongozi"-BBagonza


View: https://www.facebook.com/share/v/19epb6kYUi/

Asante Baba Askofu
 
Anaandika Rev Dkt BENSON BAGONZA

"Tatizo kubwa la hivi vyama vyetu vya upinzani vikianzishwa hugeuzwa kuwa vyama vya watu badala ya kuwa vyama vya wanachama.

Viongozi hufikia hatua ya kuviita vyama vyao.

Wanachama wanapaswa kuwa makini na kusimamia wajibu wao wa kutoruhusu mamlaka yao ya kutoa maamuzi ya mwisho kwenye chama yasipokwe na viongozi"-BBagonza


View: https://www.facebook.com/share/v/19epb6kYUi/

Yaani hizi Afrika ni karibu na taka taka. Sio kama Trump anavyozita
 
Back
Top Bottom