Askofu Dkt. Mtokambali: " Wito wa maombi maalum ya kitaifa ya siku 21 dhidi ya wimbi la pili la maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19)”.

Pole mwenyewe amechanjwa sembuse wao walioletewa dini na meli za mapazia
 
Hawa lazima wajipendekeze maana ndani yao wana mgogoro na EAGT. Wanatafuta favour.
 
Acheni usanii nyie makanjanja,huyo Mungu mnamlisha memes sana yani,aponye yeye mkampa tuzo ya kushinda corona jiwe haahaahaa nyie ndo mnasababisha janga lirudi kwa kasi kwa unafiki wenu,
Hakuna cha maombi wala miujiza ya harusi ya kana Yesu kugeuza maji divai,
Kuhusu corona msipochukua tahadhari mtakufa kama kuku wa mdondo halafu mkaanza kumwekea huyo Mungu memes zenu et ni mipango yake na kazi yake haina
makosa


Shubhamit!

Ndanganya wadau?
 

Wajasiriamali katika wakati wao.

Duniani kuna manyumbu na binadamu wa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…