Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Askofu Dr Edward Mwaikali ambaye baada ya mkanganyiko mkubwa katika Dayosisi ya KKKT-Konde alifungua shauri mahakama Kuu Mbeya kupinga kuenguliwa Uaskofu, sasa rasmi Mahakama imeamua kuwa haina mamlaka kuzuia kuapishwa Askofu Geofrey Mwakihaba, ambaye alichagulikwa na Mkutamo Mkuu wa Dayosisi hivi karibuni.
Ujumbe kwa aliyekuwa Askofu Dr Edward Mwaikali, waswahili wepesi tu walisema , asiyesikia la mkuu, huvunjika guu, na heshima yake.
Ref: Toka kwa rafiki yangu Mwakipalule-Syanaloli,
cc https://www.jamiiforums.com/members/masopakyindi.47580/