Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Anayepigania tumbo lake na si Neno ,ni Dr Edward Mwaikali.Watu wanapigania matumbo yao
Mzidi kuwapelekea sadaka tu
Ova
Aliuweka Uaskofu kuwa mahali pa kula na si utumishi wa Neno la Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayepigania tumbo lake na si Neno ,ni Dr Edward Mwaikali.Watu wanapigania matumbo yao
Mzidi kuwapelekea sadaka tu
Ova
Mwaikali anadhalilisha taaluma yakeWanashida sana hao watu, lakini huyo Askofu ndo kazidi.
Mbona mgumu kuelewa mkuu.Hili dhehebu lijitafakari sana.Mahakama ya kidunia inatumika kusuluhisha mambo ya kiroho ya waumini? Yaani mahakama inatoa Hatma ya maisha ya kiroho ya waumini? Inasikitisha sana.
Askofu Dr Edward Mwaikali ambaye baada ya mkanganyiko mkubwa katika Dayosisi ya KKKT-Konde alifungua shauri mahakama Kuu Mbeya kupinga kuenguliwa Uaskofu, sasa rasmi Mahakama imeamua kuwa haina mamlaka kuzuia kuapishwa Askofu Geofrey Mwakihaba, ambaye alichagulikwa na Mkutamo Mkuu wa Dayosisi hivi karibuni.
Ujumbe kwa aliyekuwa Askofu Dr Edward Mwaikali, waswahili wepesi tu walisema , asiyesikia la mkuu, huvunjika guu, na heshima yake.
Ref: Toka kwa rafiki yangu Mwakipalule-Syanaloli,
cc https://www.jamiiforums.com/members/masopakyindi.47580/
Huyo Askofu Mwaikaliamekosa hekima ya Kimungu.mambo ya imani sasa hadi mahakamani?