Askofu Dkt. Mwaikali wa Konde KKKT aangukia pua mahakamani!

Hili dhehebu lijitafakari sana.Mahakama ya kidunia inatumika kusuluhisha mambo ya kiroho ya waumini? Yaani mahakama inatoa Hatma ya maisha ya kiroho ya waumini? Inasikitisha sana.
Mbona mgumu kuelewa mkuu.
Kanisa halikupeleka shauri mahakamani ila ni huyo askofu aliyepotoka ndiye kapeleka shauri mahakamani.

Mahakama imemkana kuwa haihusiki na mambo ya kuendesha kanisa na taratibu zake.
Ameambiwa arudi huko au akate rufaa.
 
mambo ya imani sasa hadi mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…