LGE2024 Askofu Fredrick Shoo alia na rafu zinazoendelea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ataja mbinu zinazotumika kuengua Wagombea!

LGE2024 Askofu Fredrick Shoo alia na rafu zinazoendelea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ataja mbinu zinazotumika kuengua Wagombea!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Dkt. Fredrick Shoo, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hivi leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa linaloendelea nchini.

Dkt Shoo amesema kumekuwa na makosa mengi katika Ucahguzi huu ikiwemo kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani kutokana na makosa madogo madogo kama kushindwa kuandika majina matatu na anwani zao

Soma pia: Godbless Lema: Hakuna namna hata kwa muujiza ACT inaweza kuwa na wagombea 2000 nchi nzima

Pia alisema kuwa kumekuwa na malalamiko kuhusu kuwepo kwa majina ya watu waliofariki pamoja na watu ambao hawajitimiza umri wa kupiga kura kurekodiwa kama wapiga kura kwenye daftari la mkazi.



==================================================

Kama hadi viongozi wa dini wameanza kujitokeza kuonesha kuwa kuna kitu hakiko sawa kwenye Uchaguzi huu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Askofu Dkt Shoo: Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi ni muhimu kwa Maendeleo ya Nchi

CCM mjitafakari!

Source: Jambo TV
 
LEMA huwa ni miongoni mwa watu wanaoongoza kuwaonya, kuwagombeza na kuwaandama Viongozi wa dini pale wanapofanya yasiyo halali kwa mfano Askofu Malasusa

ILA, nimeshangaa sana pale Askofu mstaafu Fredrick Shoo alipoleta mambo yake ya ajabu Lema hakuongea chochote

Ni kwasababu ni Mzee wa Kimachame?
 
LEMA huwa ni miongoni mwa watu wanaoongoza kuwaonyq, kuwagombeza na kuwaandama Viongozi wa dini pale wanapofanya yasiyo halali kwa mfano Askofu Malasusa

ILA, nimeshangaa sana pale Askofu mstaafu Fredrick Shoo alipoleta mambo yake ya ajabu Lema hakuongea chochote

Ni kwasababu ni Mzee wa Kimachame?
Jibwa coco katika ubora wake
 
Dkt. Fredrick Shoo, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hivi leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa linaloendelea nchini.

Dkt Shoo amesema kumekuwa na makosa mengi katika Ucahguzi huu ikiwemo kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani kutokana na makosa madogo madogo kama kushindwa kuandika majina matatu na anwani zao

Soma pia: Godbless Lema: Hakuna namna hata kwa muujiza ACT inaweza kuwa na wagombea 2000 nchi nzima

Pia alisema kuwa kumekuwa na malalamiko kuhusu kuwepo kwa majina ya watu waliofariki pamoja na watu ambao hawajitimiza umri wa kupiga kura kurekodiwa kama wapiga kura kwenye daftari la mkazi.

View attachment 3152292

==================================================

Kama hadi viongozi wa dini wameanza kujitokeza kuonesha kuwa kuna kitu hakiko sawa kwenye Uchaguzi huu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Askofu Dkt Shoo: Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi ni muhimu kwa Maendeleo ya Nchi

CCM mjitafakari!

Source: Jambo TV
Alikwina? Hadi Lissu awatupie makombora ndiyo wajibaraguze sasa,mabilioni ya Samia yamewatia kigugumizi.
 
Huyu si katoka kusifia juzi tu?....naona watu wamechanganyikiwa hasa...
Poleni KKKT...hao ndio viongozi wenu wa kiroho au sio hahaha
Ukifanya jema utasifiwa, ukichemsha utakosolewa, hakuna cha ajabu hapo. Unless otherwise kama mtu anasifia na ghafla anakosoa jambo lilelile hapo atakuwa anakosea. Kwa maneno mengie, mtu mmoja anaweza akapatia hili lakini akakosea lile. Coments kwenye hayo mawili haziwezi kuwa the same.
 
Chezea S
LEMA huwa ni miongoni mwa watu wanaoongoza kuwaonya, kuwagombeza na kuwaandama Viongozi wa dini pale wanapofanya yasiyo halali kwa mfano Askofu Malasusa

ILA, nimeshangaa sana pale Askofu mstaafu Fredrick Shoo alipoleta mambo yake ya ajabu Lema hakuongea chochote

Ni kwasababu ni Mzee wa Kimachame?
chezea SACCOS
 
Dkt. Fredrick Shoo, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hivi leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa linaloendelea nchini.

Dkt Shoo amesema kumekuwa na makosa mengi katika Ucahguzi huu ikiwemo kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani kutokana na makosa madogo madogo kama kushindwa kuandika majina matatu na anwani zao

Soma pia: Godbless Lema: Hakuna namna hata kwa muujiza ACT inaweza kuwa na wagombea 2000 nchi nzima

Pia alisema kuwa kumekuwa na malalamiko kuhusu kuwepo kwa majina ya watu waliofariki pamoja na watu ambao hawajitimiza umri wa kupiga kura kurekodiwa kama wapiga kura kwenye daftari la mkazi.

View attachment 3152292

==================================================

Kama hadi viongozi wa dini wameanza kujitokeza kuonesha kuwa kuna kitu hakiko sawa kwenye Uchaguzi huu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Askofu Dkt Shoo: Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi ni muhimu kwa Maendeleo ya Nchi

CCM mjitafakari!

Source: Jambo TV
Tulimchambua sana juzi huyu mtu naona ameamua kuja kuanza kugua gamba,Wapiga deal hawa huu huwezi waelewa wanamaanisha nini.
 
Back
Top Bottom