johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Gamanywa wa kanisa la BCIC na Huduma ya Hakuna Lisilowexekana amesema Jumapili hii itakuwa ni siku ya kupiga nyungu pale kanisani kwake Mbezi jogoo mkabala na Interchick watu wote mlio wapendwa mnakaribishwa.
Kupitia ukurasa wake wa fb askofu Gamanywa anasema tukio hili siyo la kulikosa
Maendeleo hayana vyama!
Kupitia ukurasa wake wa fb askofu Gamanywa anasema tukio hili siyo la kulikosa
Maendeleo hayana vyama!