Uchaguzi 2020 Askofu Gamanywa: Nimefanya utafiti wa soko la almasi na Tanzanite huko Ulaya, tumeibiwa sana Rais Magufuli ni Mwokozi

Tapeli la dini lililokomaa,yameona kondoo wamewashitukia yanatafuta teuzi za Rais
Umeona eee, chochoro la dini hapa nchini limejaa wapiga dili wengi mno...

Kila mtu akianzisha kanisa lake anajiita Baba Askofu...
 
Huyo nae hao hao njaa njaa. Huyu hata siku moja yeye na shehe wa mkoa Dar es salaam HAWAKOSAJI MIALIKO YA IKULU, katika hali kama hiyo unategemea nin
 
Haya majina ya askofu mara sijui shekhe awamu hii yanatumiwa na viumbe wa ajabu kweli! na wala hawaoni hata aibu kuyanajisi majina hayo yenye heshima kubwa ktk jamii.
 
Hao mabeberu waliletwa na nani na kuanza kutuibia? au kulikua hakuna serikali?
 
Hao mabeberu waliletwa na nani kuja kutuibia? kama ni mikataba walisaini na nani? huyo Gamanywa nae kaanza kuwa na mawazo ya kilevi, anaanza kujipendekeza, very soon atapoteza heshima yake.
Nilishaandika comment yangu kabla sijakuta hii, hata mimi ndio najiuliza hilo swali!
 
Nchi yetu iliweka sheria juu ya mtu anayefanya utafiti au takwimu anatakiwa awe na sifa stahiki ikiwemo elimu ya level ya angalau ya cheti.

Mchungaji una cheti?
 
Cha kuchekesha serikali ya chama kile kile ndiyo ipo madarakani wakati wizi huo ukifanyika!
CCM ile ile watu wale wale!

Everyday is Saturday............................ 😎
 
Mchumia tumbo huyu. Ni askofu kujipendekeza, askofu mlqmba viatu.

Askofu asiyekielewa askofu uchwara.
Tapeli aliyejivika vazi la uaskofu.
Mkuu, hii kitu ya kutukana tukana kila ajaye Mbele yenu, kuna siku ambayo itawajia ikaharibu maisha yenu yote na msijue mapigo hayo yanatokana na nini! Na kipigo lingine si mpaka uumie, au kikupate wewe, Achaneni na kutukana na watu wanaitwa Kwa jina la Mwenyezi Mungu!

Najua utanidharau na kunitukana hata Mimi, lakini, kama mnazo akili hata zile ndogo mlizopewa na Mungu, tutukanananeni Sisi humu, lkn mtu anayeitwa Kwa jina la Muumba, uwe na hakika kwamba, huwakilisha mamlaka iliyo kuu, hata kama jamii inayomzunguka inamdharau kiasi gani, lakini kumbe Kwa Mungu aliyemuita, ni tunu yake

Kama mtu uko sawa kichwani, Acha mara moja kutukana viongozi wa dini, kwani hamuwezi kuchangia hoja zao mnazoziita Dhaifu' bila matusi?
 
Yaani huyu jamaa anaongea. Sasa kuna ambavyo akiongea havi make sense ukimuuliza anakuambia na ibaki kua hivyo. Na ibaki kua nlivosema.

Huyu anasubiriwa ndani ya chama ashinde uchaguzi then watamkalisha chini wamuambie eeh bhana tulia unaongea sana aisee.

Nadhani kwa sasa wanamwachia coz hizo bwabwaja zake aweza ibuka kidedea.
 
tapeli la kimataifa hili, yaani haya majitu kiama yatakuwa kuni za kuchomea wengine kutokana na utapeli wao kwa kutumia jina la Mungu wetu.
 
Hahahaaa

Eti Shalom TV?What the fvck is that nonsense?

Muimba mapambio na kudanganya watu makanisani huko amegeuka mtaalamu wa madini?

Mtaalamu wa kuuza na kununua madini?

Kwahiyo tufate anachokisema as if waliofanya hayo sio maCCM hayo hayo?

Kuna majitu mavichaa hii dunia sana!
 
Achaneni na kutukana na watu wanaitwa Kwa jina la Mwenyezi Mungu!
Siyo kila asemaye Bwana, Bwana ni wa Bwana. Imeandikwa hii.

Wengine ni wahuni tu kama wahuni wengine akiwemo "asihofu (siyo askofu) Gamanywa.

Hakuna pigo litakalonipata kwa kumtaja mpuuzi kama huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…