Askofu Gwajima acha kumkana Job Ndugai; Rais nakujuza

Askofu Gwajima acha kumkana Job Ndugai; Rais nakujuza

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Mu hali gani!

Mama is so smart sisi wataalamu wa movies za kungu fu tunamwita master.

Alipoingia wengi ,hasa mm tulimdharau kuwa yuko soft anadhani uraisi ni kikoba.

Muda ukaenda akachagua mbwa mbalimbali madarakani ,ndo nikajuta hata kuwa CCM nkasema huyu naee ,yeye pia muhanga wa lile mwendaze anachukuaje kenge zake

Wakaanza jenga vigenge vya kumdaharau kwani wanasema mvivu kusoma documents (mwenda alikuwa anasoma hadi sa nane usiku)

Wakamshauri afinye wapinzani kwani waliogopa kuanikwa kwa kosa lake la kuwajibu atakutana nao sometime kina mbowe( hakuwaza hilo aliambiwa apuuze)

Wakaanza kuamini wako full controoo wakaanza kujenga team GSM(Home shopingi senta) irudi (Mlio vitengo mliona walirudi walipokuwa)

Zikaanza figisu kwa kuwa alikuwa slow si kuwa alikuwa hajui alikuwa anasoma game.(Ndo bungeni wakaanza kuita serikali ya mpito)

Wakamvizia makosa machache genuine(Kupeleka tozo kwao ,na upendeleo mbalimbali kwao )

Kibinadamu ni sawa zenji imerudishwa nyuma sana na muungano ,ila suruhisho ni vikao halali vya kitaifa(sio vya ccm) na sio Rais mzenji(Wajanja kama jk,mkapa,mwinyi ,na nyerere walifumbia macho kwao.(kimkakati)

Mama akajazwa kutatua kero kuanzisha kero ili kumjaza apoteze umaarufu,kuvunja vibanda nchi nzima etc
Mama (Master in kungfu movies) alikuwa kumbe hajalala watauawa bureee,akaanza na hotuba ya kuwapa tahadhari akawambia "sitoruhusu gari bovu liniangukie "

Mayaweee waito wakora wakachanganyikiwa akawapiga kuna vi restriction vya kula hela .

Mfano ipo hotel mbele ndunjai alikaa na wapambe 5 days wale wahudumu wakajua mfalme.huku kongwa watu wanajisaidia vyoo vya mabanzi.
(Napiga pafu ya maji )
Mama akarusha jiwe gizani ikawa hivi
Ndunjai: ipo siku nchi itapigwa mnada,wananchi wataona kama waweke mwingine (Akiwa anahakikishiwa na KATEREFONI (USIMSIKIZE KIGOGO NI JANUARY)
Gwajigwa:Akasema "this is njugai i know"

MAMA HAPA KUWA NA HAKIKA ALIKUWA ANAMSIFIA HAKUWA ANPONDA WAMEONA MOVIE STAR AMEFARIKI (NJUGAI )
Wenu
Chawa wa MAMA
Ushauri kwa MAMA
1.Wewe sio kitu kimoja na yule.
2.Hakuna utachokumbukwa kama kuleta KATIBA MPYA(Ndo maana imekuchukua nguvu kushika kiti watu hawajazoea ustaarabu )
3.Wewe hujarithi serikali bali umechukua ,achana hata na rafiki zako kama ni wa mwendaze itakugharimu na utawabadili dairy(Achana na katerefon,january,nchemba(huyu peleka jela)
4.SUKUMA GANG is REAL
5.Usiachie hadi 2035
6.MTOE MBOWE NI ADUI WA SUKUMA GANG sio WW
7.ACHANA NA GENDER,WEKA WENYE VIGEZO SIO JINSIA ,WANaWaKE WENGI HAWAKuPeNDI


Wenu Chawa wa MAMA,
Nisiyelipwa ,
THE ONLY
 
Makamba jr anaenda kuwa waziri wa mawasiliano, Nape anapewa wizara ya kudili na wavunja sheria sukuma gang,
 
Waziri wa wahuni ni nani,makamba waziri mkuu
 
Gwajima kastuka kaona asije akazama na mtumbwi,akaona aite press conference mapemaaaaa😂😂😂😂😂
 
Mu hali gani!

Mama is so smart sisi wataalamu wa movies za kungu fu tunamwita master.

Alipoingia wengi ,hasa mm tulimdharau kuwa yuko soft anadhani uraisi ni kikoba.

Muda ukaenda akachagua mbwa mbalimbali madarakani ,ndo nikajuta hata kuwa CCM nkasema huyu naee ,yeye pia muhanga wa lile mwendaze anachukuaje kenge zake

Wakaanza jenga vigenge vya kumdaharau kwani wanasema mvivu kusoma documents (mwenda alikuwa anasoma hadi sa nane usiku)

Wakamshauri afinye wapinzani kwani waliogopa kuanikwa kwa kosa lake la kuwajibu atakutana nao sometime kina mbowe( hakuwaza hilo aliambiwa apuuze)

Wakaanza kuamini wako full controoo wakaanza kujenga team GSM(Home shopingi senta) irudi (Mlio vitengo mliona walirudi walipokuwa)

Zikaanza figisu kwa kuwa alikuwa slow si kuwa alikuwa hajui alikuwa anasoma game.(Ndo bungeni wakaanza kuita serikali ya mpito)

Wakamvizia makosa machache genuine(Kupeleka tozo kwao ,na upendeleo mbalimbali kwao )

Kibinadamu ni sawa zenji imerudishwa nyuma sana na muungano ,ila suruhisho ni vikao halali vya kitaifa(sio vya ccm) na sio Rais mzenji(Wajanja kama jk,mkapa,mwinyi ,na nyerere walifumbia macho kwao.(kimkakati)

Mama akajazwa kutatua kero kuanzisha kero ili kumjaza apoteze umaarufu,kuvunja vibanda nchi nzima etc
Mama (Master in kungfu movies) alikuwa kumbe hajalala watauawa bureee,akaanza na hotuba ya kuwapa tahadhari akawambia "sitoruhusu gari bovu liniangukie "

Mayaweee waito wakora wakachanganyikiwa akawapiga kuna vi restriction vya kula hela .

Mfano ipo hotel mbele ndunjai alikaa na wapambe 5 days wale wahudumu wakajua mfalme.huku kongwa watu wanajisaidia vyoo vya mabanzi.
(Napiga pafu ya maji )
Mama akarusha jiwe gizani ikawa hivi
Ndunjai: ipo siku nchi itapigwa mnada,wananchi wataona kama waweke mwingine (Akiwa anahakikishiwa na KATEREFONI (USIMSIKIZE KIGOGO NI JANUARY)
Gwajigwa:Akasema "this is njugai i know"

MAMA HAPA KUWA NA HAKIKA ALIKUWA ANAMSIFIA HAKUWA ANPONDA WAMEONA MOVIE STAR AMEFARIKI (NJUGAI )
Wenu
Chawa wa MAMA
Ushauri kwa MAMA
1.Wewe sio kitu kimoja na yule.
2.Hakuna utachokumbukwa kama kuleta KATIBA MPYA(Ndo maana imekuchukua nguvu kushika kiti watu hawajazoea ustaarabu )
3.Wewe hujarithi serikali bali umechukua ,achana hata na rafiki zako kama ni wa mwendaze itakugharimu na utawabadili dairy(Achana na katerefon,january,nchemba(huyu peleka jela)
4.SUKUMA GANG is REAL
5.Usiachie hadi 2035

Wenu Chawa wa MAMA,
Nisiyelipwa ,
THE ONLY
2035 kivip tena?
 
Mama ashapindua meza huko, hii mi4 anamaliza ya mwenda zake, halafu from 2025 to 2035 ni mi 10 tena,
 
Mu hali gani!

Mama is so smart sisi wataalamu wa movies za kungu fu tunamwita master.

Alipoingia wengi ,hasa mm tulimdharau kuwa yuko soft anadhani uraisi ni kikoba.

Muda ukaenda akachagua mbwa mbalimbali madarakani ,ndo nikajuta hata kuwa CCM nkasema huyu naee ,yeye pia muhanga wa lile mwendaze anachukuaje kenge zake

Wakaanza jenga vigenge vya kumdaharau kwani wanasema mvivu kusoma documents (mwenda alikuwa anasoma hadi sa nane usiku)

Wakamshauri afinye wapinzani kwani waliogopa kuanikwa kwa kosa lake la kuwajibu atakutana nao sometime kina mbowe( hakuwaza hilo aliambiwa apuuze)

Wakaanza kuamini wako full controoo wakaanza kujenga team GSM(Home shopingi senta) irudi (Mlio vitengo mliona walirudi walipokuwa)

Zikaanza figisu kwa kuwa alikuwa slow si kuwa alikuwa hajui alikuwa anasoma game.(Ndo bungeni wakaanza kuita serikali ya mpito)

Wakamvizia makosa machache genuine(Kupeleka tozo kwao ,na upendeleo mbalimbali kwao )

Kibinadamu ni sawa zenji imerudishwa nyuma sana na muungano ,ila suruhisho ni vikao halali vya kitaifa(sio vya ccm) na sio Rais mzenji(Wajanja kama jk,mkapa,mwinyi ,na nyerere walifumbia macho kwao.(kimkakati)

Mama akajazwa kutatua kero kuanzisha kero ili kumjaza apoteze umaarufu,kuvunja vibanda nchi nzima etc
Mama (Master in kungfu movies) alikuwa kumbe hajalala watauawa bureee,akaanza na hotuba ya kuwapa tahadhari akawambia "sitoruhusu gari bovu liniangukie "

Mayaweee waito wakora wakachanganyikiwa akawapiga kuna vi restriction vya kula hela .

Mfano ipo hotel mbele ndunjai alikaa na wapambe 5 days wale wahudumu wakajua mfalme.huku kongwa watu wanajisaidia vyoo vya mabanzi.
(Napiga pafu ya maji )
Mama akarusha jiwe gizani ikawa hivi
Ndunjai: ipo siku nchi itapigwa mnada,wananchi wataona kama waweke mwingine (Akiwa anahakikishiwa na KATEREFONI (USIMSIKIZE KIGOGO NI JANUARY)
Gwajigwa:Akasema "this is njugai i know"

MAMA HAPA KUWA NA HAKIKA ALIKUWA ANAMSIFIA HAKUWA ANPONDA WAMEONA MOVIE STAR AMEFARIKI (NJUGAI )
Wenu
Chawa wa MAMA
Ushauri kwa MAMA
1.Wewe sio kitu kimoja na yule.
2.Hakuna utachokumbukwa kama kuleta KATIBA MPYA(Ndo maana imekuchukua nguvu kushika kiti watu hawajazoea ustaarabu )
3.Wewe hujarithi serikali bali umechukua ,achana hata na rafiki zako kama ni wa mwendaze itakugharimu na utawabadili dairy(Achana na katerefon,january,nchemba(huyu peleka jela)
4.SUKUMA GANG is REAL
5.Usiachie hadi 2035
6.MTOE MBOWE NI ADUI WA SUKUMA GANG sio WW

Wenu Chawa wa MAMA,
Nisiyelipwa ,
THE ONLY
Uandishi wa kichizi
 
Mu hali gani!

Mama is so smart sisi wataalamu wa movies za kungu fu tunamwita master.

Alipoingia wengi ,hasa mm tulimdharau kuwa yuko soft anadhani uraisi ni kikoba.

Muda ukaenda akachagua mbwa mbalimbali madarakani ,ndo nikajuta hata kuwa CCM nkasema huyu naee ,yeye pia muhanga wa lile mwendaze anachukuaje kenge zake

Wakaanza jenga vigenge vya kumdaharau kwani wanasema mvivu kusoma documents (mwenda alikuwa anasoma hadi sa nane usiku)

Wakamshauri afinye wapinzani kwani waliogopa kuanikwa kwa kosa lake la kuwajibu atakutana nao sometime kina mbowe( hakuwaza hilo aliambiwa apuuze)

Wakaanza kuamini wako full controoo wakaanza kujenga team GSM(Home shopingi senta) irudi (Mlio vitengo mliona walirudi walipokuwa)

Zikaanza figisu kwa kuwa alikuwa slow si kuwa alikuwa hajui alikuwa anasoma game.(Ndo bungeni wakaanza kuita serikali ya mpito)

Wakamvizia makosa machache genuine(Kupeleka tozo kwao ,na upendeleo mbalimbali kwao )

Kibinadamu ni sawa zenji imerudishwa nyuma sana na muungano ,ila suruhisho ni vikao halali vya kitaifa(sio vya ccm) na sio Rais mzenji(Wajanja kama jk,mkapa,mwinyi ,na nyerere walifumbia macho kwao.(kimkakati)

Mama akajazwa kutatua kero kuanzisha kero ili kumjaza apoteze umaarufu,kuvunja vibanda nchi nzima etc
Mama (Master in kungfu movies) alikuwa kumbe hajalala watauawa bureee,akaanza na hotuba ya kuwapa tahadhari akawambia "sitoruhusu gari bovu liniangukie "

Mayaweee waito wakora wakachanganyikiwa akawapiga kuna vi restriction vya kula hela .

Mfano ipo hotel mbele ndunjai alikaa na wapambe 5 days wale wahudumu wakajua mfalme.huku kongwa watu wanajisaidia vyoo vya mabanzi.
(Napiga pafu ya maji )
Mama akarusha jiwe gizani ikawa hivi
Ndunjai: ipo siku nchi itapigwa mnada,wananchi wataona kama waweke mwingine (Akiwa anahakikishiwa na KATEREFONI (USIMSIKIZE KIGOGO NI JANUARY)
Gwajigwa:Akasema "this is njugai i know"

MAMA HAPA KUWA NA HAKIKA ALIKUWA ANAMSIFIA HAKUWA ANPONDA WAMEONA MOVIE STAR AMEFARIKI (NJUGAI )
Wenu
Chawa wa MAMA
Ushauri kwa MAMA
1.Wewe sio kitu kimoja na yule.
2.Hakuna utachokumbukwa kama kuleta KATIBA MPYA(Ndo maana imekuchukua nguvu kushika kiti watu hawajazoea ustaarabu )
3.Wewe hujarithi serikali bali umechukua ,achana hata na rafiki zako kama ni wa mwendaze itakugharimu na utawabadili dairy(Achana na katerefon,january,nchemba(huyu peleka jela)
4.SUKUMA GANG is REAL
5.Usiachie hadi 2035
6.MTOE MBOWE NI ADUI WA SUKUMA GANG sio WW

Wenu Chawa wa MAMA,
Nisiyelipwa ,
THE ONLY
Wadau mimi nashauri mama apewe madaraka hadi 2035. Hii itasaidi kuwavunja nguvu Sukuma Gang na ndoto zozote za Urais wa taifa hili. Naomba WaTanzania wote wapenda maendeleo muniunge mkono khs hili jambo.
IMG_20220107_104142.jpg
 
Mu hali gani!

Mama is so smart sisi wataalamu wa movies za kungu fu tunamwita master.

Alipoingia wengi ,hasa mm tulimdharau kuwa yuko soft anadhani uraisi ni kikoba.

Muda ukaenda akachagua mbwa mbalimbali madarakani ,ndo nikajuta hata kuwa CCM nkasema huyu naee ,yeye pia muhanga wa lile mwendaze anachukuaje kenge zake

Wakaanza jenga vigenge vya kumdaharau kwani wanasema mvivu kusoma documents (mwenda alikuwa anasoma hadi sa nane usiku)

Wakamshauri afinye wapinzani kwani waliogopa kuanikwa kwa kosa lake la kuwajibu atakutana nao sometime kina mbowe( hakuwaza hilo aliambiwa apuuze)

Wakaanza kuamini wako full controoo wakaanza kujenga team GSM(Home shopingi senta) irudi (Mlio vitengo mliona walirudi walipokuwa)

Zikaanza figisu kwa kuwa alikuwa slow si kuwa alikuwa hajui alikuwa anasoma game.(Ndo bungeni wakaanza kuita serikali ya mpito)

Wakamvizia makosa machache genuine(Kupeleka tozo kwao ,na upendeleo mbalimbali kwao )

Kibinadamu ni sawa zenji imerudishwa nyuma sana na muungano ,ila suruhisho ni vikao halali vya kitaifa(sio vya ccm) na sio Rais mzenji(Wajanja kama jk,mkapa,mwinyi ,na nyerere walifumbia macho kwao.(kimkakati)

Mama akajazwa kutatua kero kuanzisha kero ili kumjaza apoteze umaarufu,kuvunja vibanda nchi nzima etc
Mama (Master in kungfu movies) alikuwa kumbe hajalala watauawa bureee,akaanza na hotuba ya kuwapa tahadhari akawambia "sitoruhusu gari bovu liniangukie "

Mayaweee waito wakora wakachanganyikiwa akawapiga kuna vi restriction vya kula hela .

Mfano ipo hotel mbele ndunjai alikaa na wapambe 5 days wale wahudumu wakajua mfalme.huku kongwa watu wanajisaidia vyoo vya mabanzi.
(Napiga pafu ya maji )
Mama akarusha jiwe gizani ikawa hivi
Ndunjai: ipo siku nchi itapigwa mnada,wananchi wataona kama waweke mwingine (Akiwa anahakikishiwa na KATEREFONI (USIMSIKIZE KIGOGO NI JANUARY)
Gwajigwa:Akasema "this is njugai i know"

MAMA HAPA KUWA NA HAKIKA ALIKUWA ANAMSIFIA HAKUWA ANPONDA WAMEONA MOVIE STAR AMEFARIKI (NJUGAI )
Wenu
Chawa wa MAMA
Ushauri kwa MAMA
1.Wewe sio kitu kimoja na yule.
2.Hakuna utachokumbukwa kama kuleta KATIBA MPYA(Ndo maana imekuchukua nguvu kushika kiti watu hawajazoea ustaarabu )
3.Wewe hujarithi serikali bali umechukua ,achana hata na rafiki zako kama ni wa mwendaze itakugharimu na utawabadili dairy(Achana na katerefon,january,nchemba(huyu peleka jela)
4.SUKUMA GANG is REAL
5.Usiachie hadi 2035
6.MTOE MBOWE NI ADUI WA SUKUMA GANG sio WW
7.ACHANA NA GENDER,WEKA WENYE VIGEZO SIO JINSIA ,WANaWaKE WENGI HAWAKuPeNDI


Wenu Chawa wa MAMA,
Nisiyelipwa ,
THE ONLY
empty
 
Back
Top Bottom