johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
nawewe mjinga kumbewajinga ndiyo waliwao
Sijaelewa. Alienda kama mchungaji ama kama mbunge?Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe jana alifanya mkutano mkubwa katika jimbo la Spika mstaafu mzee Ndugai katika kata ya Kibaigwa.
Maelfu ya wana Kongwa walihudhuria na kupokea uponyaji ikiwemo kutolewa majini na mashetani pia.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Vyote!Sijaelewa. Alienda kama mchungaji ama kama mbunge?
Na hizo 2% ni za kuhimiza na kuhamasisha michangoGwajima ni mfanyabiashara na siku zote hutafuta fursa na kuitumia, dini ndio mtaji wake. Jiulize kwanini siku zote hajawahi kwenda Kongwa ila baada ya yalitokea kwa Ndugai (ikiwa tayari pia alishatumia fursa ya kujifanya anamuonya Ndugai sababu ya hitilafu yao) ndio kaamua kwenda huko; akiwa na hakika ya kupata wafuasi wakumsikiliza.
Sijasikia alichohubiri ila nina hakika asilimia 98 ilikuwa ni vijembe kwa Ndugai na asilimia 2 ndio ilikuwa masuala ya dini.
Yuko kwenye shughuli zote!Kwahio yupo kwenye shughuli za Kibunge ?
Au Ubunge ni Part Time....
Jimbo zima wameombewa!
Yani ameamua kumfata Ndugai mpaka jimboni kwake πππAskofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe jana alifanya mkutano mkubwa katika jimbo la Spika mstaafu mzee Ndugai katika kata ya Kibaigwa.
Maelfu ya wana Kongwa walihudhuria na kupokea uponyaji ikiwemo kutolewa majini na mashetani pia.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!