johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Gwajima mtata sana!Yani ameamua kumfata Ndugai mpaka jimboni kwake 😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima mtata sana!Yani ameamua kumfata Ndugai mpaka jimboni kwake 😃😃😃
Angeanza kutoa mapepo pale lumumba kwanza, angeokoa nchi parefu sana, sema nae ni utapeli tu hamna askofu hapo anacheze jina la MunguAskofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe jana alifanya mkutano mkubwa katika jimbo la Spika mstaafu mzee Ndugai katika kata ya Kibaigwa.
Maelfu ya wana Kongwa walihudhuria na kupokea uponyaji ikiwemo kutolewa majini na mashetani pia.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!