Askofu Gwajima afanya mkutano wa Injili Kongwa, wengi wahudhuria mapepo yalipuka

Angeanza kutoa mapepo pale lumumba kwanza, angeokoa nchi parefu sana, sema nae ni utapeli tu hamna askofu hapo anacheze jina la Mungu
 
eti wadau nasikia huwa kuna pepo la kungonoka, Je Gwaji anaweza likemea likaishaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…