Pre GE2025 Askofu Gwajima akipita kura za Maoni Kawe anashinda Ubunge saa 4 asubuhi, upinzani umekufa kabisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko

Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa

Happy New Year πŸ˜„
 
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko

Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa

Happy New Year πŸ˜„
Atawaambia wampe tena awakabidhi zile meli 52 ziko njiani
 
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko

Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa

Happy New Year πŸ˜„
Kuliko gwaji ni bora arudi covid fulani hivi
 
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko

Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa

Happy New Year πŸ˜„
Kwanza jimbo la kawe lina shida ya barabara za mitaa sana. Mbunge atakaye weza kutibu hili atakuwa mbunge kwa muda mrefu sana
 
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko

Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa

Happy New Year [emoji1]
hata kama upinzani ungekufa ila hyo jamaa hachaguliki watu watapigia kura mzimu
 
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko

Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa

Happy New Year πŸ˜„
Hivi huu uwongo unaanzaje kuuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…