Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Tumpatie P,kwa usajili wa Chadema.Kwanza jimbo la kawe lina shida ya barabara za mitaa sana. Mbunge atakaye weza kutibu hili atakuwa mbunge kwa muda mrefu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumpatie P,kwa usajili wa Chadema.Kwanza jimbo la kawe lina shida ya barabara za mitaa sana. Mbunge atakaye weza kutibu hili atakuwa mbunge kwa muda mrefu sana
Kwani mnapanga nyie nani aingie na nani atoke ama ndio wasimamizi wenyewe,na je tayari mnajua wa kuengua?Akirudi Sultan Mbowe atawarudisha
Kama waliweza kumnadi Lowassa watashindwa hawa, watasema tu kua tumewasameheAtawanadi vipi?
P ndo naniTumpatie P,kwa usajili wa Chadema.
Pas kali a.k.a kwa maslahi ya taifaP ndo nani
Hivi ni Birmingham na sii Boston kumbeKeshapeleka wanajimbo wake wangapi Birmingham Marekani hahaha
Namkadiria kuwa ni jasusi wa mapangoni motonimtamkoma jasusi wa mbinguni 2025
itafahamika tuNamkadiria kuwa ni jasusi wa mapangoni motoni
Hao wapo wa aina nyingi ni bora kuainisha kabisaitafahamika tu
huu mwaka
haachwi mtu mateka
inategemea upande uliopoHao wapo wa aina nyingi ni bora kuainisha kabisa
GWaji atamkana hata mwajiri wake kijani,sasa ndio hizo za Bimingham na ushujaa wa mbinguni?inategemea upande uliopo
upande atakaokuwepo gwajima usiudharau.
Sina upande,ila nategemea kumhamisha Gwaji kutoka upande alipoinategemea upande uliopo
upande atakaokuwepo gwajima usiudharau.
umejipanga?Sina upande,ila nategemea kumhamisha Gwaji kutoka upande alipo
umejipanga?
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko
Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa
Happy New Year 😄