Askofu Gwajima alidhani ubunge wa Kawe ni Asset kumbe ni liability kwake! Aishia kwenye rede na jogging. Hana mikakati ya maendeleo

Mimi nilivyoenda ofcn kwake na kukutana na katibu wake tu niliongea nae km dkk 15 nikajua kabisa hapa ni mtihani na ndio wabubge wengi nchini walivyo wanakosa watu wenye kuwasaidia wenye akili.
 
Rede huambatana na mashindano ya wadada kukatika viuno hadharani, mshindi wa kwanza kumwaga mauno hadharani hapa kawe mzimuni, baba athikofu alimzadia 50k.

Wakati wanashindana kumwaga mauno baba athikofu alionekana mwenye tabasamu na bashasha kuuubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…