Askofu Gwajima anaribu kusifu na kujipendekeza awe Waziri

Askofu Gwajima anaribu kusifu na kujipendekeza awe Waziri

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Anaitwa Askofu Gwajima ingawa sijui aliyempa hicho cheo ni nani maana matendo yake hayaendani. Alisema hawezi kuwa mbunge wala waziri maana ni vyeo vidogo kuliko kazi yake lakini ubunge wake kwa njia alioupata hata wanaccm tunajua. Amezidi kujilisha na kujipendekeza mno bwana utafikiri hamjui Mungu.

Huyu Gwajima si ndio kuna wakati jamii ilimkera kwa kujawa na Udini kwa kutukana na kukashifu imani ziingine? Huyu leo umpe uwaziri sio ndio atazidi kuingiza Udini kwenye mifumo ya serikali na kuibua minong'ono mingi kwenye jamii? Si ajabu akaja hata kuanza kumpinga mama na asimsikilize. Huyu ndugu yetu anajipendekeza mno hata kama ni kwa kusema uongo ili miradi afikie malengo yake.

Si ndio huyu huyu Gwajima alionywa kubwa kuendekeza ukabila mpaka hata mamlaka zimamkanya asirudie tena? Yaani unajiita kiongozi wa kanisa unaunda Vikindu unahubiri ukabila? Yaani unakuwa kipaumbele kugharamia vikundi kuhubiri ukabila?
Mama yangu Rais Samia na chama changu CCM tuchunge huyu ndugu yetu tusije tukapotea kabisa.

Tumekua tukishauri sana humu ikiwa ni kumuomba Mhe Rais na chama kwa ujumla kuunganisha maoni yetu wanaccm tusiosubiri vikao kwamba hili ni baya na lile ni jema walifuata.

Kwa unyenyekevu wa Mama na Chama chetu tunaamini haya pia wanayatumia sawa sawa
 
Gwajima tumempa jimbo kwanza tuone kama ataweza kulipigia debe barabara na kero nyingi alizozikuta.

Na sasa ana tatizo kubwa, Jomba lake limetoka hata kazi hajaanza.

Kazi kwake.
 
Anaitwa Askofu Gwajima ingawa sijui aliyempa hicho cheo ni nani maana matendo yake hayaendani. Alisema hawezi kuwa mbunge wala waziri maana ni vyeo vidogo kuliko kazi yake lakini ubunge wake kwa njia alioupata hata wanaccm tunajua. Amezidi kujilisha na kujipendekeza mno bwana utafikiri hamjui Mungu...
Bado anajua yupo kwenye mikono salama ya jiwe.
 
Huu mda sio wa kusifu tena bali kazi yako na uadilifu wako ndio utakunyanyua
Tugange yajayo
Na sisi sio wanyonge jamani
 
Hawa ndio walikua wanamsifu mwendazake mpaka wakamfanya Mungu awe na ghadhabu nae akampumzisha.
 
Huyu alifaa kwa awamu ya shetani mwenzake iliyopita ila sasa hivi ni akae mbali ni pepo chafu hili (porn star).

Serikal iliyochaguliwa na Mungu ipo madarakani na kama waliopo madarakani wakati huu watakengeuka nchi itatikisika maana Mungu atatugea mgongo ili dhahama aliyotuepushia itupate.
 
Amesema Mpango atakuwa VP bora kuliko wote waliowahi kutokea nchi hii.. inamaana Mama Samia hakuwa bora?
 
Anaitwa Askofu Gwajima ingawa sijui aliyempa hicho cheo ni nani maana matendo yake hayaendani. Alisema hawezi kuwa mbunge wala waziri maana ni vyeo vidogo kuliko kazi yake lakini ubunge wake kwa njia alioupata hata wanaccm tunajua. Amezidi kujilisha na kujipendekeza mno bwana utafikiri hamjui Mungu...
Kwanza uyu jamaa alipataje ubunge mbona kama simuelewi.
 
Huyo Gwajima ni bure kabisa, mwendazake aliyabeba majitu ya hovyo kabisa ambayo yapo yapo tu, tatizo la CCM hawaangalii weledi bali unajua kutoa rushwa?
 
Anaitwa Askofu Gwajima ingawa sijui aliyempa hicho cheo ni nani maana matendo yake hayaendani. Alisema hawezi kuwa mbunge wala waziri maana ni vyeo vidogo kuliko kazi yake lakini ubunge wake kwa njia alioupata hata wanaccm tunajua. Amezidi kujilisha na kujipendekeza mno bwana utafikiri hamjui Mungu...
Sitakaa nielewe anawezaje kupata waumini hata wawili tu sembuse hao wengi alionao. Huyu ni tapeli mmoja wa hovyo sana na sijui anawalisha nini wafuasi wake hawamshtukii.

Juzi juzi alikuwa anasema amepewa unabii kuwa Tanzania chini ya Magufuli na msimamo wake wa corona itapaa kimataifa na Wamarekani na Ulaya yote wataanza kupanga mstari kugombania viza za kuingia Tanzania.

Leo Magufuli amekufa kwa corona ile ile aliyosema itamwinua anageuka na kusifia tena mengine. Aisee kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Wafuasi wa Gwajima wanaseza kuwa ni watu wenye upeo mkubwa kuliko wote duniani.
 
Hawa ndio walikua wanamsifu mwendazake mpaka wakamfanya Mungu awe na ghadhabu nae akampumzisha.
Nakumbuka walifika hatua ya kusema eti Mungu amshukuru Jiwe kwa uwepo wake duniani na kwa kazi anazofanya. Huyu ni yule aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora. Mwingine yule wa Mwibara akasema Jiwe ni Yesu kabisa. Kufuru ya hali ya juu. Ila sasa wameona wenyewe kwamba Mungu hadhihakiwi
 
Nakumbuka walifika hatua ya kusema eti Mungu amshukuru Jiwe kwa uwepo wake duniani na kwa kazi anazofanya. Huyu ni yule aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora. Mwingine yule wa Mwibara akasema Jiwe ni Yesu kabisa. Kufuru ya hali ya juu. Ila sasa wameona wenyewe kwamba Mungu hadhihakiwi
Kabisa
 
Anaitwa Askofu Gwajima ingawa sijui aliyempa hicho cheo ni nani maana matendo yake hayaendani. Alisema hawezi kuwa mbunge wala waziri maana ni vyeo vidogo kuliko kazi yake lakini ubunge wake kwa njia alioupata hata wanaccm tunajua. Amezidi kujilisha na kujipendekeza mno bwana utafikiri hamjui Mungu.

Huyu Gwajima si ndio kuna wakati jamii ilimkera kwa kujawa na Udini kwa kutukana na kukashifu imani ziingine? Huyu leo umpe uwaziri sio ndio atazidi kuingiza Udini kwenye mifumo ya serikali na kuibua minong'ono mingi kwenye jamii? Si ajabu akaja hata kuanza kumpinga mama na asimsikilize. Huyu ndugu yetu anajipendekeza mno hata kama ni kwa kusema uongo ili miradi afikie malengo yake.

Si ndio huyu huyu Gwajima alionywa kubwa kuendekeza ukabila mpaka hata mamlaka zimamkanya asirudie tena? Yaani unajiita kiongozi wa kanisa unaunda Vikindu unahubiri ukabila? Yaani unakuwa kipaumbele kugharamia vikundi kuhubiri ukabila?
Mama yangu Rais Samia na chama changu CCM tuchunge huyu ndugu yetu tusije tukapotea kabisa.

Tumekua tukishauri sana humu ikiwa ni kumuomba Mhe Rais na chama kwa ujumla kuunganisha maoni yetu wanaccm tusiosubiri vikao kwamba hili ni baya na lile ni jema walifuata.

Kwa unyenyekevu wa Mama na Chama chetu tunaamini haya pia wanayatumia sawa sawa
Kamwe usimuamini binadamu mwenye tumbo
 
mmeanza udini kwa nyuzi zenu,gwajima alipinga mahakama ya kadhi kwakuwa hii nchi siyo ya kidini
 
Anaitwa Askofu Gwajima ingawa sijui aliyempa hicho cheo ni nani maana matendo yake hayaendani. Alisema hawezi kuwa mbunge wala waziri maana ni vyeo vidogo kuliko kazi yake lakini ubunge wake kwa njia alioupata hata wanaccm tunajua. Amezidi kujilisha na kujipendekeza mno bwana utafikiri hamjui Mungu.

Huyu Gwajima si ndio kuna wakati jamii ilimkera kwa kujawa na Udini kwa kutukana na kukashifu imani ziingine? Huyu leo umpe uwaziri sio ndio atazidi kuingiza Udini kwenye mifumo ya serikali na kuibua minong'ono mingi kwenye jamii? Si ajabu akaja hata kuanza kumpinga mama na asimsikilize. Huyu ndugu yetu anajipendekeza mno hata kama ni kwa kusema uongo ili miradi afikie malengo yake.

Si ndio huyu huyu Gwajima alionywa kubwa kuendekeza ukabila mpaka hata mamlaka zimamkanya asirudie tena? Yaani unajiita kiongozi wa kanisa unaunda Vikindu unahubiri ukabila? Yaani unakuwa kipaumbele kugharamia vikundi kuhubiri ukabila?
Mama yangu Rais Samia na chama changu CCM tuchunge huyu ndugu yetu tusije tukapotea kabisa.

Tumekua tukishauri sana humu ikiwa ni kumuomba Mhe Rais na chama kwa ujumla kuunganisha maoni yetu wanaccm tusiosubiri vikao kwamba hili ni baya na lile ni jema walifuata.

Kwa unyenyekevu wa Mama na Chama chetu tunaamini haya pia wanayatumia sawa sawa
Huyu si askofu bali tapeli wa kawaida sawa na wenzake akina Kakobe, Mzee wa upako, gamanywa, mwakasenge, marehemu Rwakatare na wengine wengi ambao wamegundua kuwa kuuza neno la mungu ni dili isiyostukiwa kirahisi ukiachia mbali kutumia fursa hii kukwepa kodi hata wengine kujihusisha na mihadarati. Nadhani mwanangu umeelewa.
 
Back
Top Bottom