Askofu Gwajima anatafuta umaarufu wa kisiasa au kidini?

Askofu Gwajima anatafuta umaarufu wa kisiasa au kidini?

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Mnamo tarehe 29/08/2020 Askofu Josephat Gwajima aliwaeleza waumini wake kuwa ana ‘kitu’ ndani yake kilichomuambia asikalie kiti na kutumia kipaza sauti alichokuwa amepangiwa na mwenyekiti wa kamati ya wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Kamati ya Bunge walipanga kumuua kwa kumuwekea 'misumari' kwenye kiti na kipaza sauti lakini akaokolewa na 'kitu' kilichopo ndani ya mwili wake. Askofu huyo ameyasema hayo leo wakati akiwahubiria neno la Mungu waumini wake kwenye kanisa la Ufufuo na Uzima. Hebu msikilize mwenyewe hapo chini:


Maoni yangu
Namshangaa sana askofu kwa kuwatuhumu kamati ya Bunge bila ushahidi wowote wa kiukweli au kimazingira. Hivi kweli serikali ikitaka kumuua mtu itashindwa? Mbona wengi na hawakuweza kufua dafu? Tuache kuipakazia serikali mambo ya ajabu. Tuiache serikali ifanye kazi yake bila kuingiliwa na mtu yeyote.
 
Ata wewe mwenyewe jifunze kitu kimoja "trust no one" kisa tuu ni serikali au bunge ndo kusiwe na mamafia yenye nia mbaya!!!
Ushahidi utakuwa na kazi gani pindi umeshaumia!?
 
Mnamo tarehe 29/08/2020 Askofu Josephat Gwajima aliwaeleza waumini wake kuwa ana ‘kitu’ ndani yake kilichomuambia asikalie kiti na kutumia kipaza sauti alichokuwa amepangiwa na mwenyekiti wa kamati ya wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Kamati ya Bunge walipanga kumuua kwa kumuwekea 'misumari' kwenye kiti na kipaza sauti lakini akaokolewa na 'kitu' kilichopo ndani ya mwili wake. Askofu huyo ameyasema hayo leo wakati akiwahubiria neno la Mungu waumini wake kwenye kanisa la Ufufuo na Uzima. Hebu msikilize mwenyewe hapo chini:

View attachment 1917121
Maoni yangu
Namshangaa sana askofu kwa kuwatuhumu kamati ya Bunge bila ushahidi wowote wa kiukweli au kimazingira. Hivi kweli serikali ikitaka kumuua mtu itashindwa? Mbona wengi na hawakuweza kufua dafu? Tuache kuipakazia serikali mambo ya ajabu. Tuiache serikali ifanye kazi yake bila kuingiliwa na mtu yeyote.
Mpumbavu na tapeli huyu anatafuta vyote. Kwanini mnaliita tapeli askofu wakati ni tapeli la kawaida lenye roho mtakakitu? Kwa anayesikiliza utumbo wake unajua fika alivyo mtupu kihiyo kabisa japo anajifanya ana elimu ya PhD.
 
Usmdharau mtu usiyemjua
Nani kamdaharau nani mkuu? Askofu ndiye kaidharau serikali au ni serikali ndiyo imemdharau askofu. Hebu fafanua vizuri kiongozi.
 
Ata wewe mwenyewe jifunze kitu kimoja "trust no one" kisa tuu ni serikali au bunge ndo kusiwe na mamafia yenye nia mbaya!!!
Ushahidi utakuwa na kazi gani pindi umeshaumia!?
Wewe unasapoti watu kuidharau serikali na kuizushia tuhuma za ajabuajabu kisa ushahidi au unamaanisha nini mkuu?
 
Moppumbavu na tapeli huyu anatafuta vyote. Kwanini mnaliita tapeli askofu wakati ni tapeli la kawaida lenye roho mtakakitu? Kwa anayesikiliza utumbo wake unajua fika alivyo mtupu kihiyo kabisa japo anajifanya ana elimu ya PhD.
Hebu fafanua vizuri mkuu; bado watu hawajaelewa hija yako. Je, ni kweli askofu kawekewa 'vitu' kwenye kiti na kipaza sauti au la?
 
Hebu fafanua vizuri mkuu; bado watu hawajaelewa hija yako. Je, ni kweli askofu kawekewa 'vitu' kwenye kiti na kipaza sauti au la?
Mpumbavu na tapeli huyu hajawekewa chochote. Sikumbuki kuonyesha au kueleza hicho alichokuwa amewekewa zaidi ya kujishaua ili kutafuta huruma kirahisi.
 
Mnamo tarehe 29/08/2020 Askofu Josephat Gwajima aliwaeleza waumini wake kuwa ana ‘kitu’ ndani yake kilichomuambia asikalie kiti na kutumia kipaza sauti alichokuwa amepangiwa na mwenyekiti wa kamati ya wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Kamati ya Bunge walipanga kumuua kwa kumuwekea 'misumari' kwenye kiti na kipaza sauti lakini akaokolewa na 'kitu' kilichopo ndani ya mwili wake. Askofu huyo ameyasema hayo leo wakati akiwahubiria neno la Mungu waumini wake kwenye kanisa la Ufufuo na Uzima. Hebu msikilize mwenyewe hapo chini:

View attachment 1917121
Maoni yangu
Namshangaa sana askofu kwa kuwatuhumu kamati ya Bunge bila ushahidi wowote wa kiukweli au kimazingira. Hivi kweli serikali ikitaka kumuua mtu itashindwa? Mbona wengi na hawakuweza kufua dafu? Tuache kuipakazia serikali mambo ya ajabu. Tuiache serikali ifanye kazi yake bila kuingiliwa na mtu yeyote.
Uamuzi ni wake wewe ukiitwa kakalie hicho kiti

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mnamo tarehe 29/08/2020 Askofu Josephat Gwajima aliwaeleza waumini wake kuwa ana ‘kitu’ ndani yake kilichomuambia asikalie kiti na kutumia kipaza sauti alichokuwa amepangiwa na mwenyekiti wa kamati ya wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Kamati ya Bunge walipanga kumuua kwa kumuwekea 'misumari' kwenye kiti na kipaza sauti lakini akaokolewa na 'kitu' kilichopo ndani ya mwili wake. Askofu huyo ameyasema hayo leo wakati akiwahubiria neno la Mungu waumini wake kwenye kanisa la Ufufuo na Uzima. Hebu msikilize mwenyewe hapo chini:

View attachment 1917121
Maoni yangu
Namshangaa sana askofu kwa kuwatuhumu kamati ya Bunge bila ushahidi wowote wa kiukweli au kimazingira. Hivi kweli serikali ikitaka kumuua mtu itashindwa? Mbona wengi na hawakuweza kufua dafu? Tuache kuipakazia serikali mambo ya ajabu. Tuiache serikali ifanye kazi yake bila kuingiliwa na mtu yeyote.
Yanabaki kuwa ni maoni yako ,tena ni ya kijinga sana,fahamu rohoni kwa mtu ni mbali sana
 
Nadhani leo Gwaji boy amepata kile alichokuwa akikitafuta kwa muda mrefu sana hapa nchini Tanznia. Haiwezekani kila siku awe anapotosha umma wa watanzania halafu tukamuacha aendelee na ujinga wake pasipo kuchukuliwa hatua. Kama kweli ni mwanaume, basi na Jumapili hii aende akawapotoshe waumini wake kama alivyozoea. Mpuuzi mkubwa!
 
Kimeumana tindo na nyundo.
 
Back
Top Bottom