Baada ya kuwepo kwa maneno mengi ya utani na mengine ‘serious’ kuhusu ahadi aliyoitoa kwa kwa baadhi ya wanakazi wa Kawe (Dar es Salaam) kuwa atawapeleka Jijini Birmingham Nchini England, hatimaye akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amefunguka.
Amesema “Bahati mbaya watu wana misuse, Tanzania ina watu waliosoma na wasiosoma, wakati nazindua kampeni pale Bunju nilisema hivi:
“Nina uhusiano na Meya wa Birmingham na tunaweza kufanya exchange programs, kwamba vijana wetu wa huku ambao wana kidhi mahitaji wanakwenda kule na vijana wao wa kule wanakuja huku.
“Exchange Programs zinafanywa kwa Wanafunzi na watu wengine. Mungu akinisaidia ningependa kuitimiza ahadi niliyosema.”
Makanisa yote haya ni ya kitapeli na wapumbavu ndio wanauliwa vichwa,huyu ni tapeli anayecheza na upumbavu wa watanzania wengi, ujinga ni mtaji mkubwa wa watawala wetu, angalia alichokifanya tapeli bushiri pale SA,amekimbia kesi ya utapeli na raping na bado kuna wapumbavu bado wanamwona kama no 1
Baada ya kuwepo kwa maneno mengi ya utani na mengine ‘serious’ kuhusu ahadi aliyoitoa kwa kwa baadhi ya wanakazi wa Kawe (Dar es Salaam) kuwa atawapeleka Jijini Birmingham Nchini England, hatimaye akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amefunguka.
Amesema “Bahati mbaya watu wana misuse, Tanzania ina watu waliosoma na wasiosoma, wakati nazindua kampeni pale Bunju nilisema hivi:
“Nina uhusiano na Meya wa Birmingham na tunaweza kufanya exchange programs, kwamba vijana wetu wa huku ambao wana kidhi mahitaji wanakwenda kule na vijana wao wa kule wanakuja huku.
“Exchange Programs zinafanywa kwa Wanafunzi na watu wengine. Mungu akinisaidia ningependa kuitimiza ahadi niliyosema.”
Aachane na mambo ya kijinga, atetee kutengeneza barabara kwanza. Mfano barabara inayotoka madale mwisho kwenda mbopo inamalìza magari na imekùwa ngumu kupitika yeye analeta mizaha
Baada ya kuwepo kwa maneno mengi ya utani na mengine ‘serious’ kuhusu ahadi aliyoitoa kwa kwa baadhi ya wanakazi wa Kawe (Dar es Salaam) kuwa atawapeleka Jijini Birmingham Nchini England, hatimaye akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amefunguka.
Amesema “Bahati mbaya watu wana misuse, Tanzania ina watu waliosoma na wasiosoma, wakati nazindua kampeni pale Bunju nilisema hivi:
“Nina uhusiano na Meya wa Birmingham na tunaweza kufanya exchange programs, kwamba vijana wetu wa huku ambao wana kidhi mahitaji wanakwenda kule na vijana wao wa kule wanakuja huku.
“Exchange Programs zinafanywa kwa Wanafunzi na watu wengine. Mungu akinisaidia ningependa kuitimiza ahadi niliyosema.”
Baada ya kuwepo kwa maneno mengi ya utani na mengine ‘serious’ kuhusu ahadi aliyoitoa kwa kwa baadhi ya wanakazi wa Kawe (Dar es Salaam) kuwa atawapeleka Jijini Birmingham Nchini England, hatimaye akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amefunguka.
Amesema “Bahati mbaya watu wana misuse, Tanzania ina watu waliosoma na wasiosoma, wakati nazindua kampeni pale Bunju nilisema hivi:
“Nina uhusiano na Meya wa Birmingham na tunaweza kufanya exchange programs, kwamba vijana wetu wa huku ambao wana kidhi mahitaji wanakwenda kule na vijana wao wa kule wanakuja huku.
“Exchange Programs zinafanywa kwa Wanafunzi na watu wengine. Mungu akinisaidia ningependa kuitimiza ahadi niliyosema.”