Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Gwajima katutukana na kutudhalilisha Sana waislamuWewe ni msemaji wa waislamu?!
Anafikiri Hao wanafiki wasio na chungu na dini Yao watamsaidia huyu Abass anaweza kukosa ubunge kwa sababu ya gwajima