Hakufa kwa uviko acha uongo. Alifia uzalendo ndiyo maana kila anayedharau legacy yake anaishia pabaya. Note wale wote waliomshutumu Dkt Magufuli watakuwa wapi in 10 years. Watakuwa na hali mbaya sana.Hakua na ushahidi ndiyomaana akafariki kwa korona.
Covid hatari sana ilianza na kijazi ikamalizia na ilivyomalizia.Hakufa kwa uviko acha uongo. Alifia uzalendo ndiyo maana kila anayedharau legacy yake anaishia pabaya. Note wale wote waliomshutumu Dkt Magufuli watakuwa wapi in 10 years. Watakuwa na hali mbaya sana.
simbachawene kashapewa onyo, Gwajima hawezi kupayuka tenaJpili ni kukaa seat ya mbele tu😁
alitafuta kiki dhidi ya korona ikamfyekaHakufa kwa uviko acha uongo. Alifia uzalendo ndiyo maana kila anayedharau legacy yake anaishia pabaya. Note wale wote waliomshutumu Dkt Magufuli watakuwa wapi in 10 years. Watakuwa na hali mbaya sana.
Sasa kutohudhuria mikutano miwili ndio adhabu ya kukalisha wabunge wote hao na kulipana maposho ya kodi zetu?Kamati ya Maadili imependekeza vyom6bo vya Usalama kumchunguza Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kutokana na kauli alizokiri kutoa Kanisani kwake
Aidha, Chama kilichompa tiketi ya kupata Ubunge (CCM) kimetakiwa kumuwajibisha kwa mujibu wa taratibu zao
Kamati imependekeza Gwajima asihudhurie mikutano miwili ya Bunge mfululizo
Naunga mkono hojaHuyo tapeli na mzinzi gwajima nafikiri ifike mahali atafutiwe mwanaume amrande atulie
gwajima kila jumapili anajitetea hadharani pale ufufuo na uzimaWalipashwa wawape muda nao wajitetee hadharani kama ambavyo wamesimangwa hadharani.
Bunge dhaifu na oga. Kama tunaamua kuwa watenda haki basi haki hiyo ionekane kwa wote.
Acha uongo.alitafuta kiki dhidi ya korona ikamfyeka
gwajima ni adui wa taifaWao kamati ni wapi wamethibitisha kuhusu usalama wa chanjo ili twende sawa......
aendeee aoneKwa hiyo akisimamishwa vikao viwili atàcha kuhamasisha watu wasichanjwe?
Leo alisema ana Kikao Zoom na DG wa PFizer na wa MRNA awaulize kuhusu Chanjo zao. Alisema atatoa Link tumsikilize akiongea nao sijaiona Link. Sijui kawahi🙉🙉🙉Katika kikao kinachoendelea Bungeni leo agosti 31, Kamati ya maadili iliyowahoji Askofu Josephat Gwajima na mbunge Jerry Slaa imetoa ripoti yake na mapendekezo ya adhabu.
Kwa upande wa askofu josephat Gwajima, Kamati imesema kua ilimtaka atoe evidence juu ya zile tuhuma alizokua akizisema zikiwemo kwamba kuna watu wamepokea hela ili chanjo iingie nchini, Wachoma chanjo watapata madhara baadaye.
baada ya kuambiwa alete ushahidi wake juu ya madai hayo Askofu Gwajima alisema Hayo ni mahubiri ya kiroho hivyo hayapaswi kukosolewa na alivyoendelea kutakiwa atoe evidence za utafiti wake alikaa kimya.
ikumbukwe Askofu Gwajima aliwahaaidi wahumini wake kwamba atakwenda kuieleza ukweli kamati ya maadili
===
“Askofu Gwajima alishindwa kuthibitisha kauli zake wala hakuwa na ushahidi na kielelezo chochote kama alivyouaminisha umma kuwa anao ushahidi”.
Kufuatia maelezo hayo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Emmanuel Mwakasaka ameeleza kuwa kamati imemtia hatiani, Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima.
Mwenyekiti Mwakasaka, ameeleza kuwa “Askofu Gwajima hakukiri wala kujutia makosa yake, alionyesha dharau na hivyo Kamati imemtia hatiani, Bunge linaazimia kuwa apewe adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo ya Bunge baada ya kupitisha azimio.”