HUNA AKILI WEWE.Iyo aihalalishi kubomoa makazi ya watu ni uonevu wa hali ya huu kubomolea watu nyumba zao. LAZIMA Jiwe na utu. Jiwe aliwabomolea watu KWA chuki zake kimara akidhani ataishi milele ikulu. YUKO WAPI SASA?!
Yani tafrani tafrani unaweza kujikataaaaJua lilivyo Kali hivi alafu unabomolewa nyumba.
Mimi Nina matatizo ila naona Kuna watu wamenipita kwa matatizo.
Wengine pale bunju b mafremu yao yameungua moto
Waumini tumejazwa sana ujingaMchungaji akitaka kujenga nyumba waumini tunamchangia,Ila muumini akitaka kujenga nyumba mchungaji anasema nitakuombea.
Waache wanyoshweeeWaache wanyooshwe maana mtetezi walimuita dhalimu na dikteta
Mimi naMtamgulizi wangu ni kitu kimoja.Waache wanyooshwe maana mtetezi walimuita dhalimu na dikteta
Huyo unayemuita mtetezi wako aliwafanya nn watu wa Kimara?Waache wanyooshwe maana mtetezi walimuita dhalimu na dikteta
Aliwajengea barabara ya njia 8huyo unayemuita mtetezi wako aliwafanya nn watu wa Kimara?
Ulitaka azuie kwa maombi ama kwa sheria ipi?Wana JF
Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.
Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.
Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.
Wao njia nane hawaoji kama ni faida! Walivo wapuuzi walitaka kulipwa wakati waliolipwa fidia waliwauzia wao! Wakawatafute waacha kuomba huruma za kijinga kwa serkali!Aliwajengea barabara ya njia 8
Ni wapi huko yalikovunjwa majumba mkuu mbweni au Bunju?Wana JF
Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.
Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.
Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.
Maombi yamegoma kufanya Kazi? 😂😂Wana JF
Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.
Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.
Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.
Kwani kuna kipi amewahi fanikiwa Gwajiboy?Wana JF
Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.
Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.
Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.
Mtetezi si ndio yule alievunja kule kimara au umeshasahau? 🤣🤣🤣waache wanyoshweee
Wamewapa maeneo?Kipi Bora waendelee kukaa bondeni ili ikija mvua tuwasaidie kila mwaka au tuwahamishe na tuwape maeneo salama kwao??
Hapo ndo tunapoenda kinyume na mausia ya Mungu kitu kinachofanya watu wamuone Mungu hayupo,utaratibu wa kupata Mali unaeleweka ni watu wafanye kazi Ili wapate Mali Sasa watu badala ya kuambiwa ukweli wafanye kazi Ili wapate Mali mtu anaambiwa aombewe Mali zishuke kutoka juu, baba anaambiwa awarithishe watoto wake urithi wa Mali zake Ili wawe na Mali tena mtu anadanganywa mtoto atajilea kwa bahati tu Sasa huyo mtoto akipitia mateso ya kukosa matunzo anajikuta haoni Kama Kuna Mungu Sasa hii ni shida kweli.Mchungaji akitaka kujenga nyumba waumini tunamchangia, Ila muumini akitaka kujenga nyumba mchungaji anasema nitakuombea.
Wana JF
Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.
Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.
Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende kwenye mstari.
Video ninayo kubwa sana inakula mb 30Mbona hapo sio Bondeni? Hauko ni video hapo?