ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Sijajua ukweli hasa kuna issue gani hapo Mbweni ila nimemsikia Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Gwajima akisema amezungumza na na ao wabomoaji wamemjibu kuwa wanapisha bustani.
Sijui labda kama kuna mwenye taarifa sahihi atujuze kuna nn huko hasa huko Mbweni.View attachment 2022062
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna. Wote waliobomolewa ni wapinzaniKuna nyumba ya mwanachama wa CCM iliyobomolewa?
HakunaKuna nyumba ya mwanachama wa CCM iliyobomolewa?
Mipango miji iheshimiwe. Mnaona eneo wazi mnavamia. Na wale matajiri waliovamia maeneo ya wazi nao washughulikiwe.
Mipango miji iheshimiwe. Mnaona eneo wazi mnavamia. Na wale matajiri waliovamia maeneo ya wazi nao washughulikiwe.
Wana JF
Ukisikia mbunge kukosa meno kwa kile kilichoamuliwa na serikali ndio hiki. Tarehe 22 juzi Gwajima Boy alifika kushuhudia nyumba zikivunjwa kwa wale wote waliojenga mabondeni, risasi zililindima kama tupo Kandahar, vilio vilitawala kwa akina mama na baba wakina mabangaloo yakiangishwa kama miguu.
Gwajima alivyofika alipokelewa na jeshi la polisi likimsii aondoke wafanye kazi zao kwa kile kutekeleza amri ya serikali. Greda zikiwa bize kugegeda mabati na tofari kuzifanya kifusi. Aliishia kujibebesha kadogo hukuaki laani na kuwafariji waliofikwa na kadhia hii.
Watu tukae tukijua kufuata sheria chief Hangaya hana utani na abembelezi jura ya mtu, ana taka mambo yaende.
Kwanini wanatoa vibali, wakijua kabisa sehemu imevamiwa?
Gwajima kawapiga changa la macho, nyymba hizi zina mwaka na nusu watu wanajenga kwa kasi, ni Kyle kulikomwaga vichwa vya immune na pakazuiliwa pasijengwe, watu wakawa wanajiuzia laki tatu, sitaSijajua ukweli hasa kuna issue gani hapo Mbweni ila nimemsikia Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Gwajima akisema amezungumza na na ao wabomoaji wamemjibu kuwa wanapisha bustani.
Sijui labda kama kuna mwenye taarifa sahihi atujuze kuna nn huko hasa huko Mbweni.View attachment 2022062
Ni jukumu lako wewe mnunuzi kuhakikisha uhalali wa unachonunua.
Iyo aihalalishi kubomoa makazi ya watu ni uonevu wa hali ya huu kubomolea watu nyumba zao. LAZIMA kuwe na utu. Jiwe aliwabomolea watu KWA chuki zake kimara akidhani ataishi milele ikulu. YUKO WAPI SASA?!
Jitahidi muwe wenye kuelimika na kuzifahamu sheria za nchi
Umejenga pasipo kufuata sheria na kanuni, kwann usibomolewe!??
Ulaya huko unabomolewa na mahakamani unafikishwa
Jitahidi muwe wenye kuelimika na kuzifahamu sheria za nchi
Umejenga pasipo kufuata sheria na kanuni, kwann usibomolewe!??
Ulaya huko unabomolewa na mahakamani unafikishwa
YUKO WAPI SASA?!Jitahidi muwe wenye kuelimika na kuzifahamu sheria za nchi
Umejenga pasipo kufuata sheria na kanuni, kwann usibomolewe!??
Ulaya huko unabomolewa na mahakamani unafikishwa
Jibu linaendana na swali lake.Aliwajengea barabara ya njia 8
Ngoja tuone...