Askofu Gwajima ashusha maombi mazito akiliombea Taifa

Askofu Gwajima ashusha maombi mazito akiliombea Taifa

Joined
Jan 20, 2015
Posts
16
Reaction score
33
Leo katika siku maalumu ya kuombea Taifa Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Kawe alipewa fursa ya kuomba kwa ajili ya taifa.

Maombi yake yamenifanya nibadili mpaka mtazamo wangu kuhusu yeye moja kwa moja. Video iko hapo chini.

 
Leo katika siku maalumu ya kuombea Taifa Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Kawe alipewa fursa ya kuomba kwa ajili ya taifa.

Maombi yake yamenifanya nibadili mpaka mtazamo wangu kuhusu yeye moja kwa moja. Video iko hapo chini.

View attachment 2970990
Peleka upumavu wako huko IBILISI, ulimwambia magu asihangaike na "MBWA" wanaobweka watamchelewesha safari yake.. leo unawaombea "MBWA" wale wale.
 
Dah, tutaingia kaburini tupo hoi kabisa. Watu watakuwa wanasema, "Bora akapumzike, ameteseka sana."
 
Peleka upumavu wako huko IBILISI, ulimwambia magu asihangaike na "MBWA" wanaobweka watamchelewesha safari yake.. leo unawaombea "MBWA" wale wale.
Watu mliokulia facebook mna tabu sana. Huku ni intellectuals pekee sio tu bando
 
Back
Top Bottom