Askofu Gwajima ashusha maombi mazito akiliombea Taifa

Askofu Gwajima ashusha maombi mazito akiliombea Taifa

Hayo maombi yake Kwa taifa hili Mimi binafsi nikiwa kama mwanawa taifa hili nayakata nakuomba eeh Mungu hayo maombi yake usinihusishe na mimi
Bila shaka wewe ndo wale watega mitego, au ndo maana unaona huyataki, wewe kama ni mtanzania, yatakupata yote kwa uzuri au kwa ubaya sawa na moyo wako ulivyo.
 
Mungu baba tulindie viongozi kama hawa kwenye taifa hili ili tufike mbali
Viongozi wenye hofu ya Mungu
 
Bila shaka wewe ndo wale watega mitego, au ndo maana unaona huyataki, wewe kama ni mtanzania, yatakupata yote kwa uzuri au kwa ubaya sawa na moyo wako ulivyo.
Vyovyote utakavyonielewa Ila huyo Gwajima Hana moral authority ya kuniombea Mimi bwana halafu acha kunilazimisha kitu ambacho sikitaki
Kama wewe unaona sawa akuombe wewe na Watanzania wengine wanaomwamini.
Mimi binafsi hizo sala zake naomba Mungu anitoe siwezi kuombewa
na mtu kama josephat gwajima hana hadhi ya kunisalia na kuniombea mimi kwani namjua vizuri ni tapeli mkubwa .
Kwa hiyo tafadhali heshimu maamuzi yangu huwezi kunilazimishia mimi imani hata siku moja.
Narudia tena eeh Mungu Baba Mwenyezi wa Mbinguni ninayekuamini hayo maombi anayoyaomba huyo mtu anayetambulika kama Josephat Gwajima Kwa ajili ya Taifa langu la Tanzania mimi nikiwa mmoja wapo wa watu wake naomba unitoe usinijumuishe Kwenye maombi hayo
 
Amen! Na iwe kama ulivyoomba kwa Jina la Yesu
 
Ili nchi iendelee kwakua maombi yanachukua nafasi kubwa basi bunge lijalo liwe la mashehe,mapadri maaskofu na wachungaji. Bila kuwasahau masister. Maana mnachanganya watu
 
Back
Top Bottom