Yehoyada Yedidia
Member
- Jan 20, 2015
- 16
- 33
Peleka upumavu wako huko IBILISI, ulimwambia magu asihangaike na "MBWA" wanaobweka watamchelewesha safari yake.. leo unawaombea "MBWA" wale wale.Leo katika siku maalumu ya kuombea Taifa Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Kawe alipewa fursa ya kuomba kwa ajili ya taifa.
Maombi yake yamenifanya nibadili mpaka mtazamo wangu kuhusu yeye moja kwa moja. Video iko hapo chini.
View attachment 2970990
una wivu wa kijinga, kutuma hutumi halafu wanaotuma (wanakuumize) ikuume wewe? Huu ni ishamba tuOgopa Matapeli...
Gwajima ni wale wa tuma kwenye namba hii
Hapa wewe umekaa kwenye nafasi ya nani kati ya wewe na Mungu!kuna maombi ya kisiasa na maombi ya kawaida,au maombi ni maombi tu?.
watumishe mnisaidie?
ANGEMWOMBEA MAKONDALeo katika siku maalumu ya kuombea Taifa Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Kawe alipewa fursa ya kuomba kwa ajili ya taifa.
Maombi yake yamenifanya nibadili mpaka mtazamo wangu kuhusu yeye moja kwa moja. Video iko hapo chini.
View attachment 2970990
Umekuwa makamu MunguHayo maombi yake Kwa taifa hili Mimi binafsi nikiwa kama mwanawa taifa hili nayakata nakuomba eeh Mungu hayo maombi yake usinihusishe na mimi
Sasa unamuonea wivu mwanaume mwenzako sio maadili ya kiafrika hayoHaya matapeli yanaishi vizuri balaa
Watu mliokulia facebook mna tabu sana. Huku ni intellectuals pekee sio tu bandoPeleka upumavu wako huko IBILISI, ulimwambia magu asihangaike na "MBWA" wanaobweka watamchelewesha safari yake.. leo unawaombea "MBWA" wale wale.