Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Leo katika kanisa la ufufuo na uzima Askofu Gwajima asema watu wasiingilie imani ya kanisa lake, amesema kuwa kiimani wakristo na hata waislamu wanaamini pombe ni dhambi na mahubiri hutolewa kupinga matumizi ya pombe, Je hao wanaohubiri wanatakiwa wakamatwe kwa sababu wanaikosesha serikali mapato?
Amesema wale wanaojaribu kuingilia imani ya kanisa lake wanaingia kwenye "crusher" watasagwa sagwa. Askofu Gwajima amesisitiza imani ya kanisa lake ni hawachanjwi na hivyo wasitishwe na yoyote.
Askofu Gwajima anaenedelea kumwashia moto Waziri Afya, more updates to follow
===
Askofu Gwajima awataka Waziri wa Afya na Naibu Waziri wa Afya wajiuzulu kwa sababu walizunguka nchi nzima kuelezea athari za chanjo kisayansi miezi michache iliyopita, lakini hivi sasa wameanza kuzunguka tena kuwaambia watu wachanjwe bila kutoa elimu ya kisayansi.
Amesisitiza Waziri wa Afya Dr. Dorothy and Naibu Waiziri wa Afya Dr. Mollel wajiuzulu kwa sababu wamemsaliti Rais, wanalazimisha watu kuchanjwa japokuwa chanjo ni hiari.
Amemshutumu Dr. Dorothy kwa kuwaita watanzania waliokataa chanjo ambao ni takribani 70% wajinga.
Amesema wale wanaojaribu kuingilia imani ya kanisa lake wanaingia kwenye "crusher" watasagwa sagwa. Askofu Gwajima amesisitiza imani ya kanisa lake ni hawachanjwi na hivyo wasitishwe na yoyote.
Askofu Gwajima anaenedelea kumwashia moto Waziri Afya, more updates to follow
===
Askofu Gwajima awataka Waziri wa Afya na Naibu Waziri wa Afya wajiuzulu kwa sababu walizunguka nchi nzima kuelezea athari za chanjo kisayansi miezi michache iliyopita, lakini hivi sasa wameanza kuzunguka tena kuwaambia watu wachanjwe bila kutoa elimu ya kisayansi.
Amesisitiza Waziri wa Afya Dr. Dorothy and Naibu Waiziri wa Afya Dr. Mollel wajiuzulu kwa sababu wamemsaliti Rais, wanalazimisha watu kuchanjwa japokuwa chanjo ni hiari.
Amemshutumu Dr. Dorothy kwa kuwaita watanzania waliokataa chanjo ambao ni takribani 70% wajinga.