Kwa muda mrefu sasa Askofu Gwama ametangaza wazi wazi kwamba hataki kuchanja chanjo ya Corona, ninamuelewa kwani ni haki yake binafsi kukataa, maana chanjo ni hiari. Mahali ambapo simuelewi ni pale anapofanya kampeni ya makusudi, ya waziwazi, tena kwa kutumia lugha kali sana kuwashawishi na kuwatishia watu (wafuasi) wake anaodai kwamba ni familia yake, kwamba wakchanja watakufa. Kama yeye hataki kuchanja si awaache wengine watumie haki yao? !?
Lakini pia, kwa kuwa Rais wa nchi anafanya kampeni ya kuwasihi watu wachanje, lakini yeye anakwenda kinyume na Rais, hii si kama usaliti kwa mamlaka?
Anayemwelewa atusaidie
Lakini pia, kwa kuwa Rais wa nchi anafanya kampeni ya kuwasihi watu wachanje, lakini yeye anakwenda kinyume na Rais, hii si kama usaliti kwa mamlaka?
Anayemwelewa atusaidie