kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda
Pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,
Sasa Basi mweshimiwa Gwajima, Spika Ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari haya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,
Ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
Pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,
Sasa Basi mweshimiwa Gwajima, Spika Ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari haya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,
Ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako