Askofu Gwajima kama una ubavu, anzisha battle na Spika Ndugai kama ulivyohaidi

Askofu Gwajima kama una ubavu, anzisha battle na Spika Ndugai kama ulivyohaidi

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda

Pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,

Sasa Basi mweshimiwa Gwajima, Spika Ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari haya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,


Ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
 
1630431240577.png
 
Halafu itakusaidia nini wewe kabwela? Wenzako wanagonga posho wewe unakalia kushabikia ujinga ujinga

By ze wei ndugai kasema yesu alitembea na mkewe mpaka sijui wapi huko na ameomba msamaha kwasabb anajua jpl moto utakuwa mkubwa sana

IMG-20210831-WA0032.jpg
 
uyo ndugai GWAJIMA anamudu vizuri tu

atamkung'uta vibaya sana
 
kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda,
pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,

Sasa Basi mweshimiwa Gwajima ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari aya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,


ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
Kwanini ngebe asianzisha hiyo battle na mzee wa bakora.
 
kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda,
pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,

Sasa Basi mweshimiwa Gwajima ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari aya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,


ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
Uzi wa kimalayamalaya tu
 
kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda,
pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,

Sasa Basi mweshimiwa Gwajima ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari aya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,


ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
Gwajima NDEMBENDEMBE....

HASHTAG CCM imfukuze Askofu Gwajima👊

#NchiKwanza
#SiempreCCM
#KaziIendelee
 
kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda,
pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,

Sasa Basi mweshimiwa Gwajima ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari aya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,


ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
Mkuu@ngebe , ungechukua fursa hii kumwambia Ndugai afungue kanisa lake maana katanabaisha anaijua dini kuliko gwaji boy!
 
kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda,
pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,

Sasa Basi mweshimiwa Gwajima ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari aya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,


ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
Ndugai kasema wao wamenawa, hawahusiki tena na wamewasokomezea vyombo vya Dola, maana wamesema akirudia wao watashughulika na wengine sio yeye tena,

Yule mama hakurudia tena tangu akataliwe na baba mkwe mbele ya makamera

Wakienda personal, hawamwezi kbs Gwajima, tena asbh mapema wanalala goal kama za Bayern
 
Ndugai kasema wao wamenawa, hawahusiki tena na wamewasokomezea vyombo vya Dola, maana wamesema akirudia wao watashughulika na wengine sio yeye tena,

Yule mama hakurudia tena tangu akataliwe na baba mkwe mbele ya makamera

Wakienda personal, hawamwezi kbs Gwajima, tena asbh mapema wanalala goal kama za Bayern
mwambie jumapili aropoke tena atajua hajui
 
Kwa hali iliyopo nafikiri Gwajima si busara tena kuendelea na mjadala huu, yeye msg yake sent and delivered,

Watanzania wataamua wenyewe kuhusu kuchanja au kutokuchanja
 
Back
Top Bottom