Askofu Gwajima kama una ubavu, anzisha battle na Spika Ndugai kama ulivyohaidi

Askofu Gwajima kama una ubavu, anzisha battle na Spika Ndugai kama ulivyohaidi

Kwa hali iliyopo nafikiri Gwajima si busara tena kuendelea na mjadala huu, yeye msg yake sent and delivered,

Watanzania wataamua wenyewe kuhusu kuchanja au kutokuchanja
akikaa kimya atakua ameshindwa
 
Hapana, msg yake imeeleweka na yeye kasema hachanji, labda akichanja ndio atakuwa kashindwa vita
jumapili iliyopita alituhaidi doroth Gwajima na Mollel wasipojiuzuru hatakaa kimya
 
Jumapili Uelekeo "Ufufuo Na Uzima "
Bunge Limeonyesha Kumuogopa Gwajima Pastor Hasa Akipanda Madhabahuni. Wamesema Wazi Jumapili Watafyatuliwa Angani Nchi Kavu Popote Ulipo
 
kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda,
pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,

Sasa Basi mweshimiwa Gwajima ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari aya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,


ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako
Rubbish. Hakuna yeyote duniani anayeweza kuwagusa watu wanao mjua Mungu wao vizuri sembuse huyo mzee wa kanisa la mashoga.
 
Back
Top Bottom