- Thread starter
- #21
akikaa kimya atakua ameshindwaKwa hali iliyopo nafikiri Gwajima si busara tena kuendelea na mjadala huu, yeye msg yake sent and delivered,
Watanzania wataamua wenyewe kuhusu kuchanja au kutokuchanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akikaa kimya atakua ameshindwaKwa hali iliyopo nafikiri Gwajima si busara tena kuendelea na mjadala huu, yeye msg yake sent and delivered,
Watanzania wataamua wenyewe kuhusu kuchanja au kutokuchanja
nimeskia walikua wakikahoji kalete evidence kana kaa kimya hakana pa kuzitoaNukuu za kamati nadhani umezisikia
Hapana, msg yake imeeleweka na yeye kasema hachanji, labda akichanja ndio atakuwa kashindwa vitaakikaa kimya atakua ameshindwa
jumapili iliyopita alituhaidi doroth Gwajima na Mollel wasipojiuzuru hatakaa kimyaHapana, msg yake imeeleweka na yeye kasema hachanji, labda akichanja ndio atakuwa kashindwa vita
lazima aufyateAkiropoka tu anaongezewa adhabu ya bunge....MIKUTANO 3....
Hapo bado adhabu ya CCM....
🤣🤣👍lazima aufyate
Thubutu!uyo ndugai GWAJIMA anamudu vizuri tu
atamkung'uta vibaya sana
Rubbish. Hakuna yeyote duniani anayeweza kuwagusa watu wanao mjua Mungu wao vizuri sembuse huyo mzee wa kanisa la mashoga.kwenye zile biti zake za kanisani Gwajiboy huwa anawadanganya waumini wake kwamba yoyote atakayeinua kichwa atamponda ponda,
pia akahaidi hata wasaidizi wa Rais anasubiri ajinue mmoja atamshushia kitu kizito mpaka atawasimulia watoto wa watoto zake,
Sasa Basi mweshimiwa Gwajima ndugai ndo huyo kainua kichwa tayari aya sasa jumapili ujichanganye kumtaja kama unavyofanyaga utakiona cha mtema kuni kilichomnyima pimbi manyoya,
ukijifanya kichaa kuna vichaa zaidi yako