Askofu Gwajima kama una ubavu, anzisha battle na Spika Ndugai kama ulivyohaidi

Kwa hali iliyopo nafikiri Gwajima si busara tena kuendelea na mjadala huu, yeye msg yake sent and delivered,

Watanzania wataamua wenyewe kuhusu kuchanja au kutokuchanja
akikaa kimya atakua ameshindwa
 
Hapana, msg yake imeeleweka na yeye kasema hachanji, labda akichanja ndio atakuwa kashindwa vita
jumapili iliyopita alituhaidi doroth Gwajima na Mollel wasipojiuzuru hatakaa kimya
 
Jumapili Uelekeo "Ufufuo Na Uzima "
Bunge Limeonyesha Kumuogopa Gwajima Pastor Hasa Akipanda Madhabahuni. Wamesema Wazi Jumapili Watafyatuliwa Angani Nchi Kavu Popote Ulipo
 
Rubbish. Hakuna yeyote duniani anayeweza kuwagusa watu wanao mjua Mungu wao vizuri sembuse huyo mzee wa kanisa la mashoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…