Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sayansi ipi iliyo maliza korona? Tanzania mpaka leo walio chanjwa ni 700k kati ya watu 60 million hivi huu uwiano ndio wa kumaliza korona?Nadhani ameona Sayansi "ilivomaliza" korona
Aliyemnyamazisha ni Mwanaume Mmoja asiye na maneno mengi ( tena ni Bagosha Mwenzake ) na ambaye hata katika Mazishi ya Hayati Rais Dkt. Magufuli pale Chato alitoa Hotuba ya 'Kiume' zaidi iliyotuachia Maswali mengi kwa Kumpigia Simu Moja tu na kumwambia aache Kuivuruga Tanzania vinginevyo ataanza Kuvurugwa Yeye na Kukata Simu.Mambo yanakwenda kwaa Kasi Sana!
Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona!
Kabla ya japo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo was Corona na jitihada zote zilizokuea zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Munhu alilimaakiza au atalimaliza bila Sayansi!
Cha ajabu baada ya kibano alichope2a na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelehea au kalegezwa!
Tulitegemea gata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse!
Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO!
Askofu Gwajima upo!?
Aliyemnyamazisha ni Mwanaume Mmoja asiye na maneno mengi ( tena ni Bagosha Mwenzake ) na ambaye hata katika Mazishi ya Hayati Rais Dkt. Magufuli pale Chato alitoa Hotuba ya 'Kiume' zaidi iliyotuachia Maswali mengi kwa Kumpigia Simu Moja tu na kumwambia aache Kuivuruga Tanzania vinginevyo ataanza Kuvurugwa Yeye na Kukata SimuEither alikuwa anatumika na kazi yake imeisha au kibano kimefanya kazi yake.
Hasa ile iliyokuwa na 'HQ' yake Upanga.Usicheze na system
Ndiyo Ukweli WenyeweUchungaji na kuwa mwanasiasa havitangamani. Huenda aliambiwa achague moja or else. Kaamua yaishe.
Hivi unaandika niniMambo yanakwenda kwaa Kasi Sana!
Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona!
Kabla ya japo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo was Corona na jitihada zote zilizokuea zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Munhu alilimaakiza au atalimaliza bila Sayansi!
Cha ajabu baada ya kibano alichope2a na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelehea au kalegezwa!
Tulitegemea gata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse!
Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO!
Askofu Gwajima upo!?
Aiseeee! U're well informed my brother! Congratulations to you.Aliyemnyamazisha ni Mwanaume Mmoja asiye na maneno mengi ( tena ni Bagosha Mwenzake ) na ambaye hata katika Mazishi ya Hayati Rais Dkt. Magufuli pale Chato alitoa Hotuba ya 'Kiume' zaidi iliyotuachia Maswali mengi kwa Kumpigia Simu Moja tu na kumwambia aache Kuivuruga Tanzania vinginevyo ataanza Kuvurugwa Yeye na Kukata Simu
Najua Hadi sasa kwa fitina za wanakijani wameshajua hawajui🤸.Huyu msukuma kaambiwa sio raia lini?
Afanye kama anajikuna popote alipo, tujue Nini kimemsibu.na alisemà doroth gwajima na mollel wasipojiuzuru atazidi kuwafyatua hatanyamaza, sasa tunashangaa mbn kanyamaza na wao bado wanadunda
Tupe dokezo mkuu.Aiseeee! U're well informed my brother! Congratulations to you.
Kashachoma tayari,tena yeye kachoma Moderna yenye dozi mbili.Either alikuwa anatumika na kazi yake imeisha au kibano kimefanya kazi yake.
Sasa kelele zilikuwa za Nini, au alichoma mbele ya kamati🏋️.
Inawezekana na video akachukuliwa.Sasa kelele zilikuwa za Nini, au alichoma mbele ya kamati[emoji2484].
Mkuu Mimi ndiyo GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na hakuna mwingine.Aiseeee! U're well informed my brother! Congratulations to you.
Risasi ya mwisho imekuwa butuMambo yanakwenda kwaa Kasi Sana!
Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona!
Kabla ya japo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo was Corona na jitihada zote zilizokuea zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Munhu alilimaakiza au atalimaliza bila Sayansi!
Cha ajabu baada ya kibano alichope2a na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelehea au kalegezwa!
Tulitegemea gata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse!
Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO!
Askofu Gwajima upo!?
🤣🤣Hata ndugu yetu Pascal Mayalla alivyotoka kwenye kamati ya maadili aliufyata, alisema bunge halina meno ila nafikiri lilimng'ata😁