Askofu Gwajima kaufyata?

Tatizo lao sio kwamba Gwajima Askofu kashindwa! Wanataka aendelee kuongea ili waendeleze propaganda za gang! Gwajima alishashinda kila mtu mwenye akili anajua ila wanalotaka aendelee kuongea ili waanze mambo ya Sukumagang,au pushgang!
Kama mtemi Hangaya mwenyewe wananchi walimwambia hatuchanjwi mble ya Gwajima,halafu kiumbe asiyejulikana anakuja na Uzi huu, nakubaliana na wazo lako,kumbe Kuna kingine zaidi wanataka.
 
na alisemΓ  doroth gwajima na mollel wasipojiuzuru atazidi kuwafyatua hatanyamaza, sasa tunashangaa mbn kanyamaza na wao bado wanadunda
Hana ubavu wa kuikosoa serikali maana yeye mwenyewe siyo msafi
 
Kazi ya kuwakumbusha na kuwasemea watanzania ameifanya kwa uaminifu mwenye macho ameona mwenye masikio kasikia corona ni hadaa. Ni busara kulinda stara yake
 
Kuna Wakati alidai atakuwa meeting na watengeneza vaccine wa pfizer na Astrazeneca na Kila kitu watakacho zungumza ataiweka wazi.
Itakua kikao haijaisha, tuvute subra atakuja tu.
 
Kazi ya kuwakumbusha na kuwasemea watanzania ameifanya kwa uaminifu mwenye macho ameona mwenye masikio kasikia corona ni hadaa. Ni busara kulinda stara yake
Mtu mwenyewe hana busara atawezaje kuwashauri watu mambo yenye busara?
 
ALIKUMBUSHWA FADHILA ALIZOPEWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Askofu wa wajinga tu huyo.
 
Unapenda uchonganishi.....
kwenye jamii yoyote wachonganishi hawakosekani
kama huyu
watu kama hawa hawapendagi kuona mambo yametulia lazima wachokonoe chokonoe ndio furaha yao
Mkuu ndio babako was kiroho au πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Tulizoea kumsikia akibwata ...Sasa kaufytaa nywaaa
 
Kuna Wakati alidai atakuwa meeting na watengeneza vaccine wa pfizer na Astrazeneca na Kila kitu watakacho zungumza ataiweka wazi.
Itakua kikao haijaisha, tuvute subra atakuja tu.
Hata mpiga deki wa huyo mtengeneza Pfizer na Astrazeneca hana ubavu wa kukutana naye!
 
Kaufyata si kidogo ati...!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…