Pre GE2025 Askofu Gwajima mwaka huu utawadanganya na nini wananchi wa Kawe?

Pre GE2025 Askofu Gwajima mwaka huu utawadanganya na nini wananchi wa Kawe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyo Gwaji Boy file lake lipo limezagaa tu mitaani, huyu anajiita mtumishi wa Mungu lakini anachokifanya sirini hata Shetani anamshangaa, safari hii Mwamposa na yeye analitaka jimbo ngoma itakuwa tamu mnoo
 
Safari hii hatakwambia jimboni kwakwe kuta fanana na toronto
 
Ni bora Gwajima kuliko wewe uliyejawa chuki dhidi ya Lisu na inaoneka tangu mwanzo ulimsifia kwakuwa alikuwa msaidizi wa Mbowe, so Gwajima na wewe wote mko sawa
 
Hawa wanapita kwa kuiba kura sio kupigiwa kura
 
Sisi wananchi tunachoweza kumshauri GWAJIMA azidishe maombi yake binafsi kwasababu atakuwa na wakati mgumu sana!! 🥺
 
Mwaka huu ahadi ama uongo uko mwingi sana mbona. Mfano anaweza kuahidi kuwapeleka wananchi wa kawe Marekani wakamuone Elon Musk. Ama akaahidi kumaliza vita ya gaza. Bado anaweza kuahidi kwamba wamekubaliana na Trump wakazi wote wa kawe waende Marekani bila visa bure.
 
Ni bora Gwajima kuliko wewe uliyejawa chuki dhidi ya Lisu na inaoneka tangu mwanzo ulimsifia kwakuwa alikuwa msaidizi wa Mbowe, so Gwajima na wewe wote mko sawa
Silly!
 
Back
Top Bottom