Pre GE2025 Askofu Gwajima mwaka huu utawadanganya na nini wananchi wa Kawe?

Pre GE2025 Askofu Gwajima mwaka huu utawadanganya na nini wananchi wa Kawe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katika jimbo gumu ni.la Kawe maana wananchi wana shida ya barabara maji.

Uharibifu wa njia baada ya utapeli wa.Brt kuanza na.kufumua barabara ili hali kazi inayofanyika ya ujenzi ikiwa na kiwango hafifu kisicho na.maono ya.upanuzi wa.njia ziwe lane nyingi.zaidi
 
😅 Bado miezi michache, Kawe mpya inakuja 🤣😂
ila Itapendeza Halima Mdee akigombea tena na kurudi Kawe.
 
Back
Top Bottom