#COVID19 Askofu Gwajima na Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer na mgunduzi wa MRNA watakutana Zoom kujadili Madhara ya chanjo

Toka hapa na alinacha zako.
 
Itakuwa ajabu wataalamu wa sayansi wanajadili sayansi na mchungaji
 
Bill Gates katengeneza chanjo lini na inaitwaje?
 
Kuna mtu kauliza swali hili na nimeshalijibu huko juu, soma uzi wote
 
Another man is going down
I say again
Another man is going down

Do you copy?
Over
 
Kuna virus wengi tu ila hawajapata host ndio maana hawana madhara.

Kwahiyo hata Coronavirus usidhani kaumbwa jana.
 
Tutaona anachanja soon

jamaa ni Dalali mzuri sana wa nafsi yake

huku anavuta misukule ya kuongozana nayo isiyo na clue
 
Ukijifanya unajua wakati hujui ndiyo madhara yake hayo kama ulikuwa hujui, ukianzisha ugomvi na mtu ambaye huwezi kumpiga jua wew ni kichaa kama jiwe. Kifupi alikufa kwa corona, iko siku utajua ukweli
 
Unamfananisha bill gates serious utakua huna utimamu wa akili
 
Naona kuna haja ya serikali kuwekeza nguvu hata kwenye tiba zetu japo ni jambo gumu ilal inawezekana.....

Madawa yanayotengenezwa na wenzetu japo yanaponya kwa kiasi chake ila yanaajenda za kiibiashara kwa undani.
 
Mbona watanzania mnapenda kuvipa vitu vya ajabu nafasi kwenye akili zenu!!..
 
Akifanya unitag, sijawahi muamini Mkono wa baunsa
 

Wapi yule msomi wa medical, economic na diplomatic intelligence alipofikia na mkutano kwa zoom?

Wapi mrejesho? Au mambo ya kinyemela tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…