Askofu Gwajima na nyumba ya mil 8 Kwa mtogole

Askofu Gwajima na nyumba ya mil 8 Kwa mtogole

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Kuna clip nimeiona facebook, gwajiboy ametembelea wananchi, ikatokea mwananchi mmoja wanasema alilalamika kwamba nyumba yake imeuzwa.
1. Alimpangisha muuza bucha
2. umeme ukakatika, nyama za bucha la mpangaji zikaharibika
3. mwenye bucha akasema mwenye nyumba amlipe nyama hizo 4m
4. wamevutana mwenyenyumba anaonekana hana hela, wakaenda mahakamaya Mwanzo Kawe
5. Mahakamaya mwanzo ikaamuru mwenye nyumba awekwe ndani miezi 6, na akakaa huko.
6. alipokuwa ndani, wakauza nyumba hiyo kwa mil.8.
7. thamani ya nyumba iliyoko barabarani ni kama 100m.

hoja yangu, kama hili jambo ni la kweli, naamini jamii inahitaji kuingilia kati. Pia, umuhimu wa Mahakama za mwanzo uchunguzwe kama bado zina umuhimu au tuache kesi zianzie district court. kwa wanasheria wenzangu wameshaelewa ninachomaanisha.

1. Jaji prof.Juma na mahakama yako ingilieni kati.

2. Hakimu aliyeamua kesi hiyo achunguzwe competence yake na credibility yake na kama anafaa kuendelea kuwa hakimu.

3. Mahakama za mwanzo limekuwa kimbilio la wazurumaji, ukitaka upore haki ya mtu, nenda tu primary court, honga hakimu, imeisha hiyo. hadi huwa natamani zifutwe tubaki na mahakama kuanzia wilaya na kuendelea.
 
Nimesikiliza ile clip nilidhani kama movie vile. Katika hali ya kawaida mbona haiwezekani kabisa. Kwamba unampangisha mtu nyumba anafungua bucha. Umeme umekatika nyama imeharibika then fidia anadaiwa mwenye Nyumba!!! Sijui mkataba wao wa upangishaji, lakini wakati fulani Mahakimu wanapokonya haki kwa sababu ya rushwa. Huu nao ni upumbavu kabisa.
 
Nimesikiliza ile clip nilidhani kama movie vile. Katika hali ya kawaida mbona haiwezekani kabisa. Kwamba unampangisha mtu nyumba anafungua bucha. Umeme umekatika nyama imeharibika then fidia anadaiwa mwenye Nyumba!!! Sijui mkataba wao wa upangishaji, lakini wakati fulani Mahakimu wanapokonya haki kwa sababu ya rushwa. Huu nao ni upumbavu kabisa.
umeme alikata mwenye nyumba au tanesco? ilikuwa luku au nini? kulikuwa hakuna option ya mwenye bucha kununua luku umeme uwake? nyama yenyewe sijui kilo 20 sijui ngapi ndio imecost the whole house. imagine na mwenye nyumba anaonekana kidogo mtu wa kubangaiza.
 
Kuna hakimu Tapeli hapo kashilikiana na mwenye bucha kuwadhulumu hao ndugu....Nyuma yenye thamani ya Milioni 100, inauzwa Milioni 8, katika hizo 8 wakakata milioni 4 kumpa mwenye bucha, walipogomea huyo mzee mwenye nyumba akafungwa miezi sita kama sikosei....Hii nchi ina maajabu sana.
 
Kuna hakimu Tapeli hapo kashilikiana na mwenye bucha kuwadhulumu hao ndugu....Nyuma yenye thamani ya Milioni 100, inauzwa Milioni 8, katika hizo 8 wakakata milioni 4 kumpa mwenye bucha, walipogomea huyo mzee mwenye nyumba akafungwa miezi sita kama sikosei....Hii nchi ina maajabu sana.
wenye facts zote ziwekeni hapa, humu kuna mawakili, majaji, mahakimu wakubwa nk, ashukurikiwe.
 
Nimesikiliza ile clip nilidhani kama movie vile. Katika hali ya kawaida mbona haiwezekani kabisa. Kwamba unampangisha mtu nyumba anafungua bucha. Umeme umekatika nyama imeharibika then fidia anadaiwa mwenye Nyumba!!! Sijui mkataba wao wa upangishaji, lakini wakati fulani Mahakimu wanapokonya haki kwa sababu ya rushwa. Huu nao ni upumbavu kabisa.
Hivi hakuna mamlaka ya kuwawajobisha MAHAKIMU wasiofuata Maadili ya kazi? Au nayo ni Corrupt?
 
Duh kumbe kitambo.. Huyu kama alishindwa kuonana na Silaa wakati ule akiwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ili amsaidie kupata haki zake, ndo basi tena. Maana waziri aliepo sasa hivi wizarani ni mtu wa hovyo asietaka kusikiliza kero za wananchi wake, wala kuwasaidia kupata haki zao.
 
Kuna clip nimeiona facebook, gwajiboy ametembelea wananchi, ikatokea mwananchi mmoja wanasema alilalamika kwamba nyumba yake imeuzwa.
1. Alimpangisha muuza bucha
2. umeme ukakatika, nyama za bucha la mpangaji zikaharibika
3. mwenye bucha akasema mwenye nyumba amlipe nyama hizo 4m
4. wamevutana mwenyenyumba anaonekana hana hela, wakaenda mahakamaya Mwanzo Kawe
5. Mahakamaya mwanzo ikaamuru mwenye nyumba awekwe ndani miezi 6, na akakaa huko.
6. alipokuwa ndani, wakauza nyumba hiyo kwa mil.8.
7. thamani ya nyumba iliyoko barabarani ni kama 100m.

hoja yangu, kama hili jambo ni la kweli, naamini jamii inahitaji kuingilia kati. Pia, umuhimu wa Mahakama za mwanzo uchunguzwe kama bado zina umuhimu au tuache kesi zianzie district court. kwa wanasheria wenzangu wameshaelewa ninachomaanisha.

1. Jaji prof.Juma na mahakama yako ingilieni kati.

2. Hakimu aliyeamua kesi hiyo achunguzwe competence yake na credibility yake na kama anafaa kuendelea kuwa hakimu.

3. Mahakama za mwanzo limekuwa kimbilio la wazurumaji, ukitaka upore haki ya mtu, nenda tu primary court, honga hakimu, imeisha hiyo. hadi huwa natamani zifutwe tubaki na mahakama kuanzia wilaya na kuendelea.
Kuharibika kwa nyama za bucha Kuna uhusiano upi na kumlipa pesa fafafnua
 
Kuharibika kwa nyama za bucha Kuna uhusiano upi na kumlipa pesa fafafnua
kamuulize muuza bucha ilo swali. nimeleta hapa kupata facts halisi sote hatuzijui, ila kuharibika kwa nyama kwa sababu ya umeme kukatika ndiko kumefanya nyumba iuzwe. hatujui kama mwenye nyumba alikata umeme au tanesco, hatujui.
 
3. Mahakama za mwanzo limekuwa kimbilio la wazurumaji, ukitaka upore haki ya mtu, nenda tu primary court, honga hakimu, imeisha hiyo. hadi huwa natamani zifutwe tubaki na mahakama kuanzia wilaya na kuendelea.
Miaka ya 1990s kuna hakimu mmoja mjini Makambako alijenga nyumba kwa 0 cost mpaka inakwisha
 
Back
Top Bottom